Kibunago
JF-Expert Member
- Jan 11, 2008
- 300
- 122
Kwa kutumia chombo cha kupembua pumba kutoka nafaka kiitwacho Truth-JFmeter. Katika kipimo cha efficient leadership scale yafuatayo ndiyo majibu ya uwezo alionao Mheshimiwa Zitto Kabwe katika nyanja ya Uongozi katika baadhi ya sifa zifuatazo:-
Intelligence: below average 100%
Creativity: 70%
Vision for development: 50%
Fairness: 30%
Magnanimity (spreading the fame and take the blame): 10%
Integrity: (integration of outward actions and inner values) 2%
Humility: (not self-effacing): 0.5%
Mifano:
Mtu anayesema si muda wa kujadili Urais, kabla ya saa 24, anakanyaga matapishi yake na kuanza kujinadi bila aibu katika nafasi ambayo haiko wazi wala Tume ya uchaguzi haijaruhusu mtu kujitangaza, tena Bungeni (sio jukwaa la kampeni) na wakati usiohusika (kikao cha kujadili bajeti ya Wizara); kheri hata ingekuwa mswada wa mgombea pekee aseme alikuwa anajitolea mfano. ü Mtu wa kukusanya saini za Wabunge kwa mbwembwe ili kumwondoa Waziri Mkuu katika kikao cha Bunge tokana na Mawaziri na Watendaji Serikalini na Taasisi za umma kushindwa kuajibika kasha Bunge lifuatalo anakula u-turn na kuanza kumtetea Mkurugenzi wa TANESCO anayetuhumiwa kwa ubadhilifu mwingi akisukumwa na wenye majenereta na wenye tenda za kuiuzia vifaa na mafuta TANESCO kwa bei chafu.
Mtu ambaye mara nyingi hawezi kusema SISI CHADEMA bali kuendelea kusema MIMI Zitto na mara nyingi wenzake kama Chama wakiwa pamoja katika jambo fulani (mf. Kampeni n.k) yeye atakuwa hayupo na kupata visingizio; mkiwa katika kujadili mambo ya maslahi ya nchi yeye atatafuta namna ya ku-divert mwelekeo kwa kuanzisha topic zisizo na mashiko zinazomuhusu.
Mtu anayeweza kuwazunguka Waheshimiwa Vijana wenzake na kuwa hamashisha wamuunge mkono kwenda kwao Kigoma akitanguliza dhumuni la kuwanyanyua Wasanii wenyeji wakati nyuma ya pazia na ndani ya roho yake anakusudia kuwatumia vibaya waheshimiwa Mnyika, Nassar & Halima waseme kuwa anafaa kugombea Urais akitegemea kuzua tafrani ndani ya CHADEMA kwa kusisitiza kuwa analiamini gazeti zaidi kuliko kauli za hao wenzake.
Si mwingine bali ni Zitto anayejinadi leo kuwa ana uweza kuwa Rais wa nchi. Pamoja na kumwogopa kama ukoma mtu anayekimbilia Ikulu kwa nguvu zote, sasa tunamwogopa Zitto Kabwe zaidi kwa kuanika uwezo wake wa kuongoza ambao ni kiduchu kabisa na uhatari wake kutokana na tabia yake iliyofichuka ya ku- flip-flop!
Intelligence: below average 100%
Creativity: 70%
Vision for development: 50%
Fairness: 30%
Magnanimity (spreading the fame and take the blame): 10%
Integrity: (integration of outward actions and inner values) 2%
Humility: (not self-effacing): 0.5%
Mifano:
Mtu anayesema si muda wa kujadili Urais, kabla ya saa 24, anakanyaga matapishi yake na kuanza kujinadi bila aibu katika nafasi ambayo haiko wazi wala Tume ya uchaguzi haijaruhusu mtu kujitangaza, tena Bungeni (sio jukwaa la kampeni) na wakati usiohusika (kikao cha kujadili bajeti ya Wizara); kheri hata ingekuwa mswada wa mgombea pekee aseme alikuwa anajitolea mfano. ü Mtu wa kukusanya saini za Wabunge kwa mbwembwe ili kumwondoa Waziri Mkuu katika kikao cha Bunge tokana na Mawaziri na Watendaji Serikalini na Taasisi za umma kushindwa kuajibika kasha Bunge lifuatalo anakula u-turn na kuanza kumtetea Mkurugenzi wa TANESCO anayetuhumiwa kwa ubadhilifu mwingi akisukumwa na wenye majenereta na wenye tenda za kuiuzia vifaa na mafuta TANESCO kwa bei chafu.
Mtu ambaye mara nyingi hawezi kusema SISI CHADEMA bali kuendelea kusema MIMI Zitto na mara nyingi wenzake kama Chama wakiwa pamoja katika jambo fulani (mf. Kampeni n.k) yeye atakuwa hayupo na kupata visingizio; mkiwa katika kujadili mambo ya maslahi ya nchi yeye atatafuta namna ya ku-divert mwelekeo kwa kuanzisha topic zisizo na mashiko zinazomuhusu.
Mtu anayeweza kuwazunguka Waheshimiwa Vijana wenzake na kuwa hamashisha wamuunge mkono kwenda kwao Kigoma akitanguliza dhumuni la kuwanyanyua Wasanii wenyeji wakati nyuma ya pazia na ndani ya roho yake anakusudia kuwatumia vibaya waheshimiwa Mnyika, Nassar & Halima waseme kuwa anafaa kugombea Urais akitegemea kuzua tafrani ndani ya CHADEMA kwa kusisitiza kuwa analiamini gazeti zaidi kuliko kauli za hao wenzake.
Si mwingine bali ni Zitto anayejinadi leo kuwa ana uweza kuwa Rais wa nchi. Pamoja na kumwogopa kama ukoma mtu anayekimbilia Ikulu kwa nguvu zote, sasa tunamwogopa Zitto Kabwe zaidi kwa kuanika uwezo wake wa kuongoza ambao ni kiduchu kabisa na uhatari wake kutokana na tabia yake iliyofichuka ya ku- flip-flop!