Kazimoto wa Kibaha High School, atafika pale?Hujakutana na marehemu moudy physics.. R.IP legend, physics ilikuwa tamu na laini saana kwangu kupitia huyu mwamba.
Mudy wa mchikichini plus Hyden.Hujakutana na marehemu moudy physics.. R.IP legend, physics ilikuwa tamu na laini saana kwangu kupitia huyu mwamba.
Hao ni kina nani na wanafanya nini saivi?Mudy wa mchikichini plus Hyden.
Nzoih , Busanji , Rwezaula, Angelo, Mkandawile plus Mbulanya.
haahha Mwagona mkuuVp Mwalamsha bado yupo?
daahNdio, kaishafariki yule mwamba
Hamna kitu ngozi nyeusi tunajua, wote tunakalili tu huwezi linganisha mody na wazungu, hawa watu wametupita mbali sanaHujakutana na marehemu moudy physics.. R.IP legend, physics ilikuwa tamu na laini saana kwangu kupitia huyu mwamba.
Yeye afundishe hiyo Elimu yenyewe kaletewaNikidhani unafundisha wewe mwenyewe kumbe unaleta za wengine?
Mimi Nilikuwa naigwaya topic hiyo na, Current electricity kwenye kipengele cha Kirchoff 's law.Naipenda physics lkn kuna topic moja naichukia balaa Magnetism kwenye Advanced physics hiyo ni cheche
Moja ya kichwa bora kuwahi kutokea nchi hii. Bahati mbaya alizaliwa bongo, hivyo hakikutumika ipasavyo.Hujakutana na marehemu moudy physics.. R.IP legend, physics ilikuwa tamu na laini saana kwangu kupitia huyu mwamba.
Nakubaliana na unachosema.Moja ya kichwa bora kuwahi kutokea nchi hii. Bahati mbaya alizaliwa bongo, hivyo hakikutumika ipasavyo.
Tuliokuwa tunaishi kkoo hilo lilikuwa chimbo letu, tukiingia shule topic zote tulishamaliza, nimemkumbaka sana HydenMudy wa mchikichini plus Hyden.
Nzoih , Busanji , Rwezaula, Angelo, Mkandawile plus Mbulanya.
Kashafariki mkuu 2020 December, nilishirili kwenye safari yake ya mwishomoudy physics wa mchikichini ?
alifariki ?