Huyu ndiye Lissu Mzalendo anayepigania maslahi ya Tanzania na Watanzania

"Mwalimu Nyerere aliongoza kijanjakijanja" By Mzalendo Tundu Lissu :D
Ni kweli kabisa..Labda wewe unamsikia tu Nyerere..watu walikuwa wanaiba mali za umma wala hana habari nao yeye anaangaika na wapinzani wake wa kisiasa wakina Jumbe nk..Sokoine kujaribu kuwafanyizia wahujumu uchumi akawahishwa kuzimu..Umasikini wa Tanzania sio wa kutoka kwa Mungu-TAL
 
Kwa utafiti upi ulioufanya? Uliufanya lini na wapi? Kama huo ndiyo ukweli kwanini maccm yaogope tume huru, uwazi kwenye kupiga na kuhesabu kura na kura zihesabiwe hadharani hivyo kuihakikishia dunia kwamba hata kwenye uchaguzi HURU na wa HAKI maccm ni KIDEDEA Tanzania tena kwa ushindi wa TSUNAMI!? 😳😳😳

😀😀😀😀😀

TL hawezi kuwa Rais. Time will tell. Anaweza kuwa upinzani mzuri
 
Duh, wewe kweli ni turnkey

Ni kweli kabisa..Labda wewe unamsikia tu Nyerere..watu walikuwa wanaiba mali za umma wala hana habari nao yeye anaangaika na wapinzani wake wa kisiasa wakina Jumbe nk..Sokoine kujaribu kuwafanyizia wahujumu uchumi akawahishwa kuzimu..Umasikini wa Tanzania sio wa kutoka kwa Mungu-TAL
 
Kipindi hicho alikuwa anaenda vizuri sana, wakati huo selikali kwa mujibu wa Mnyika ilikuwa dhaifu sana!

Sasa alipoingia Magu akaanza kushughulikia hayo ndio Lisu alipogeuka adui.

Kiufupi Lisu huwa anacheza ma wakati kulingana na kiongozi aliyepo madarakani na hufanya hivyo kwa manufaa yake.

Lisu angekuwa serious angeungana na Magufuli kupigania alichokuwa analipigania kwa muda wa hiyo miaka 30
Lakini yeye aligeuka akawa upande wa hao wezi huku akisema tutashitakiwa.

Kwa hivyo ni sahihi kusema kwamba Lisu alikuwa anapiga kelele, ili kelele zake ziwe zinampa kipato toka kwa hao wezi.
Wewe ni mpumbavu kweli. labda tukuulize wakati hii miswada ya kipumbav ya madini inasainiwa huyo MAGUFULI alikuwa wapi?
Lisu aungane na MAGUFULI KWA LIPI?
Acha tukuambie alichokuwa anamwambia MAGUFULI ni msimamo wake ambao alikuwa nao tangu wewe hujaja mjini
yaani madini muyauze wenyewe afu leo ati mnajidai mna uchungu nayo?
kwahiyo alipigwa risasi kwa sababu hajaungana na magufuli
 
Back
Top Bottom