Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,359
- 5,831
Ni kweli kabisa..Labda wewe unamsikia tu Nyerere..watu walikuwa wanaiba mali za umma wala hana habari nao yeye anaangaika na wapinzani wake wa kisiasa wakina Jumbe nk..Sokoine kujaribu kuwafanyizia wahujumu uchumi akawahishwa kuzimu..Umasikini wa Tanzania sio wa kutoka kwa Mungu-TAL"Mwalimu Nyerere aliongoza kijanjakijanja" By Mzalendo Tundu Lissu