Huyu ndio Tundu Lissu

Huyu ndio Tundu Lissu

Hatuwezi kumchagua mgombea anaejikomba na kujinadi kuwa yeye ni wa nchi ambayo kila siku wapo mbele kutuhujumu.
Akichaguliwa huyu atakuwa kwa maslahi ya nchi jirani na si Tanzania.
kuna watu bado wana akili za kishamba na kijinga wanahc bado tupo enzi za asp na tanu,huyu mleta mada ni mbumbumbu sana,anajidai hajui kuwa damu ya wakenya ilitumika kumtibu lisu!111!11111111!shiiiiit yake hajui kuwa hata jiwe ni mnyarwandiz,wenye asili ya tz ni zaramo tu nao ni partialism
 
Uko sahihi Lisu Ni mgombea wa Kenya huyo ni pandikizi la Wakenya

Lowassa naye Alikuwa pandikizi la Wakenya alipogombea Uraisi
Sasa kapokewa na Lisu
Magu Pandikizi la Rwanda ama?
 
Lisu amedai ana damu ya wakenya hiyo inazidi kuleta taharuki kwenye ishu za uraia wake.
 
CCM iruhusu vyombo vya habari vifanye kazi yake ya kufikisha sera kwa Watanzania. Watanzania wataamua nani anawafaa. Tunamjua vizuri TL. Ni mtu wa Singida. This is cheap, childish propaganda.
 
Back
Top Bottom