Huyu ndio "Shetani"

Huyu ndio "Shetani"

Status
Not open for further replies.

Mahmood

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2008
Posts
7,908
Reaction score
2,478
Je unaijua Kazi yake katika jamii?

"Hapendi kuona AMANI katika Ndoa",
Hataki kuona UKISALI",
Anapenda kukuona ukitafuta "PESA" Bila kuridhika!"

Je unajua anapoishi?
Sehemu anayopenda ni pale ambapo hakuna jina la Allah (sehemu ambayo hatajwi Mwenyezi Mungu)!

Vipi unawafahamu rafiki zake?

Rafiki zake wakubwa ni...!
WAZINZI, WEZI, WALEVI, WANAFIKI, WAONGO, WALA RIBA, WASIO HESHIMU WAZAZI, WASIO SWALI, na WAFITINISHAJI.

JE unaijua fimbo yake ya kumpigia?

Wewe sema AUDHUBILLAH MINASHAYTWAANRAJIIM! (Najikinga kwa Mwenyezi Mungu anilinde na Shetani)
Au wewe mtaje , MUNGU kila mara mfano, uwe unasema ALLAH AKBAR (Mungu Mkubwa kuliko kila kitu), N.K

Mimi nimefikisha ujumbe kwako je wewe unamfikishia nani?
 
Shetani ni adui wa kweli kwa Binadamu.
 
Swala za usiku +ayatur qursiy ni kiboko yake shetani
 

je unaijua Kazi yake katika jamii?

"Hapendi kuona AMANI katika Ndoa",
Hataki kuona UKISALI",
Anapenda kukuona ukitafuta "PESA" Bila kuridhika!"

Je unajua anapoishi?
Sehemu anayopenda ni pale ambapo hakuna jina la Allah (sehemu ambayo hatajwi Mwenyezi Mungu)!

Vipi unawafahamu rafiki zake?

Rafiki zake wakubwa ni...!
WAZINZI, WEZI, WALEVI, WANAFIKI, WAONGO, WALA RIBA, WASIO HESHIMU WAZAZI, WASIO SWALI, na WAFITINISHAJI.

JE unaijua fimbo yake ya kumpigia?

Wewe sema AUDHUBILLAH MINASHAYTWAANRAJIIM! (Najikinga kwa Mwenyezi Mungu anilinde na Shetani)
Au wewe mtaje , MUNGU kila mara mfano, uwe unasema ALLAH AKBAR (Mungu Mkubwa kuliko kila kitu), N.K

Mimi nimefikisha ujumbe kwako je wewe unamfikishia nani?

atleast leo kwa mara ya kwanza nakuona unaandika kitu chenye kutia akili.
anyway,kwa jina la yesu kristu aliye hai,shetani ashindwe
 
Jazakallah khayr. Umefanya jambo jema sana kutukumbusha wana JF juu ya mambo mema na juu ya kujiepusha na mabaya.
 

je unaijua Kazi yake katika jamii?

"Hapendi kuona AMANI katika Ndoa",
Hataki kuona UKISALI",
Anapenda kukuona ukitafuta "PESA" Bila kuridhika!"

Je unajua anapoishi?
Sehemu anayopenda ni pale ambapo hakuna jina la Allah (sehemu ambayo hatajwi Mwenyezi Mungu)!

Vipi unawafahamu rafiki zake?

Rafiki zake wakubwa ni...!
WAZINZI, WEZI, WALEVI, WANAFIKI, WAONGO, WALA RIBA, WASIO HESHIMU WAZAZI, WASIO SWALI, na WAFITINISHAJI.

JE unaijua fimbo yake ya kumpigia?

Wewe sema AUDHUBILLAH MINASHAYTWAANRAJIIM! (Najikinga kwa Mwenyezi Mungu anilinde na Shetani)
Au wewe mtaje , MUNGU kila mara mfano, uwe unasema ALLAH AKBAR (Mungu Mkubwa kuliko kila kitu), N.K

Mimi nimefikisha ujumbe kwako je wewe unamfikishia nani?

Uzuri wa kuandika yanayopendwa na dini zote, hata coments zinakuwa na uelekeo mmoja... Hongera kwa post hii... SHETANI ASHINDWE
 
Allah Akbar.
Najikinga kwa mwenyezi Mungu dhidi ya mwovu shetani.
IJN.
Amen.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom