damtanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 752
- 1,465
Hali zenu wanajf,
Katika pitapita zangu, nimekutana na hii:
Ana patikana eneo la Kongoni wilayani Likuyani hukoo Kenya.
Yeye ni Mungu mtu na watu huenda kumwabudu yeye kila Jumamosi.
Picha hizo ni watu wakiwa kwenye gwaride kabla ya sala
Mtu akiomba kwa unyekevu mbele za Mungu.
Mungu mwenyewe.
Katika pitapita zangu, nimekutana na hii:
Ana patikana eneo la Kongoni wilayani Likuyani hukoo Kenya.
Yeye ni Mungu mtu na watu huenda kumwabudu yeye kila Jumamosi.
Picha hizo ni watu wakiwa kwenye gwaride kabla ya sala
Mtu akiomba kwa unyekevu mbele za Mungu.
Mungu mwenyewe.