Samahani sana kwa ilo kwani nimetukana mod naomba mbadilishe iwe binti Komando mzuri nimekuelewa.
Kapita wapi?
nadhani amemaanisha kapita kwenye kinyampasira.
Mkuu msamiati mgumu huo kueleweka,hebu weka wazi.nadhani amemaanisha kapita kwenye kinyampasira.
Amependeza
Msimzinguwe mtoa mada..yuko sahihi.
Gadner kapita ndio...kachapa hiyo mashine kaimwaga kisha kasepa...thats a fact. Au mulitaka asemeje? Kwamba ngoma ya gadner?....huyo ni x wa gadner...kachapa imelala kasepa.
But mzigo kama huo kuumega ilikuwa inahitaji moyo ka wa mwendawazimu vile...mie namkubali nyimbo zake tu na struggle zake kwenye maisha na ubishi wa dar....ila likija suala la kummiliki dahh...ngumu sana aisee.
Pamoja komandooooo.....aje adui mwingine
Msimzinguwe mtoa mada..yuko sahihi.
Gadner kapita ndio...kachapa hiyo mashine kaimwaga kisha kasepa...thats a fact. Au mulitaka asemeje? Kwamba ngoma ya gadner?....huyo ni x wa gadner...kachapa imelala kasepa.
But mzigo kama huo kuumega ilikuwa inahitaji moyo ka wa mwendawazimu vile...mie namkubali nyimbo zake tu na struggle zake kwenye maisha na ubishi wa dar....ila likija suala la kummiliki dahh...ngumu sana aisee.
Pamoja komandooooo.....aje adui mwingine