Jaman naombeni ushauri wenu ndugu zangu
Nilikua na rafiki wa kiume close friend...yaan tulikua marafiki hasa kiasi kwamba haiwezi pita Masaa 2 hatuwasiliana. Usiku tunaongea mpaka SAA 5 usiku...
Kuna siku alienda kazini akachelewa kutoka akanipigia best ndio nafika alafu ges imeisha kwakua ni rafiki sikuona ajabu nikamwambia njoo ule huku akaja kula Sijui kilitokea nn tukajikuta tupo ktk mahusiano ya kimapenz
Kwel mi nilikua nampenda sana before nadhan hata yeye.
Sasa kilichofanya niombe ushauri ni tabia ya jamaa kifupi tumepanga kufikia December tuwe tumesha tambulishana kwa wazazi lengo tuje tuishi pamoja
Ambacho simuelew jamaa anaweza piga cm pika nakuja kula kweli najipinda napika anakula anaondoka au anaweza pata mgen akaniambia piga ninamgen tunakuja kula nawapikia jamaa hanunui hata mboga wala tu kujiongeza angalau alete hata nyanya tu hapana...yeye ana kazi nzuri analipwa karibia 1million per month..Mimi mbangaizaji tu lkn hata huruma hana nashindwa nimueleweje
Juz aliniambia njoo uninunulie lunch nikamwambia sina hela basi
Jana kaja nimekuja kula ikabidi niandae Chakula akala akaondoka .jmn nashindwa kumuelewa ni mtu wa aina gani mi sio muongeaji sana nashindwa kumuambia...nataka niachane nae je naanzaje??? Maana ukwel nampenda.....
Jamaa ana 36 Mimi Nina 30..
Naomben ushauri wenu