huyu mwanaume hana aibu lo!

huyu mwanaume hana aibu lo!

yoelisahe

Member
Joined
Jul 23, 2013
Posts
72
Reaction score
21
mara ya kwanza aliniaproach nimekaa nae kama mwez mmoja akaanza mizinga ya vocha,mara una elfu kumi ya fasta,unitumie,mara sehemu nilipo nimbal na duka nirushie vocha,nikajua ni kwel amekwama,nikagundua nimchezo wake,hajawah kunipa ata sh.mia,nilichofanya nilikata mawasiliano ghafla ad akashangaa,akipiga cm cpokei,wala cjibu sms zake,mwaka miezi imeisha,majuz,nimeonana nae,akanambia anashangaa nimemchunia, baada ya cku 2 ananitext,baby sory,niko home ninashida na vocha cwezi kutoka kuna mvua kubwa,
 
mara ya kwanza aliniaproach nimekaa nae kama mwez mmoja akaanza mizinga ya vocha,mara una elfu kumi ya fasta,unitumie,mara sehemu nilipo nimbal na duka nirushie vocha,nikajua ni kwel amekwama,nikagundua nimchezo wake,hajawah kunipa ata sh.mia,nilichofanya nilikata mawasiliano ghafla ad akashangaa,akipiga cm cpokei,wala cjibu sms zake,mwaka miezi imeisha,majuz,nimeonana nae,akanambia anashangaa nimemchunia, baada ya cku 2 ananitext,baby sory,niko home ninashida na vocha cwezi kutoka kuna mvua kubwa,

Atakua anajifunza umario
 
mara ya kwanza aliniaproach nimekaa nae kama mwez mmoja akaanza mizinga ya vocha,mara una elfu kumi ya fasta,unitumie,mara sehemu nilipo nimbal na duka nirushie vocha,nikajua ni kwel amekwama,nikagundua nimchezo wake,hajawah kunipa ata sh.mia,nilichofanya nilikata mawasiliano ghafla ad akashangaa,akipiga cm cpokei,wala cjibu sms zake,mwaka miezi imeisha,majuz,nimeonana nae,akanambia anashangaa nimemchunia, baada ya cku 2 ananitext,baby sory,niko home ninashida na vocha cwezi kutoka kuna mvua kubwa,

Ha ha ha
 
mmmh! mwezi wa kwanza yupo hivyo, si ajabu hata hizo vocha unazotuma hakupigii! tupa kule....
 
mmmmh mwanaume anakuomba pesa au vocha??? kweli hii ni ajabu mimi sijawahi kuona nahisi huyo ana kasoro fulani au ni mwanaume kama Binti
 
mmmmh mwanaume anakuomba pesa au vocha??? kweli hii ni ajabu mimi sijawahi kuona nahisi huyo ana kasoro fulani au ni mwanaume kama Binti

ni kawaida sana kwa vjana wa sku iz mana nshaskia kwa gals weng,haswaa akijua unazo.
 
ni kawaida sana kwa vjana wa sku iz mana nshaskia kwa gals weng,haswaa akijua unazo.

Duuh kweli dunina imebadilika lakini kwa mwanaume au kijana yeyote nadhani ni aibu kuomba pesa kwa GF au mchumba wako kila wakati daaaah
 
Sasa nalo hili la kuleta JF binti?
 
bila shaka huyo mwanaume atakuwa mkongo man maana hao jamaa kwa mizinga ni nooma,ila dada zetu wanawazimikia nasikia wanawagegeda vizuri huku wakiwaimbia nyimbo za kikongo.
 
unamaanisha???

namaansha kuwa analia hapa kwa kutoa hzo vocha na faranga kwa mchizi,ila kama mchizi angekuwa anatoa hzo vocha na kumpa bidada isingekua tatizo kwake na wala asingekuja hapa jamvini
 
Back
Top Bottom