Huyu mwanamke yukoje

Huyu mwanamke yukoje

Mi nikiwa na Mke kama huyo ntamwambia tu sitaki uchokozi wako,

Akiendelea kuninunia naenda kumsemea kwa mama yake achapwe mpaka ashae na roho yake🤣
 
Habari kabla sijalala ngoja nije na hii.

Now nimeelewa kwanini wanaume tunakufa mapema.

Nina mke ambaye muda wote kisirani.

Ananuna nuna muda wote.

Ni mtu ninayeishi nae kwenye nyumba mpaka najiuliza huyu ni mke au adui yangu.

Wanaume Tunapitia mengi halfu yeye anaona kawaida.

Hana mawasiliano na ndugu zangu Wala majirani wanaomzunguka.

Aisee ntakuja kumuacha tu
Ni
This is a law of self-preservation. Broadcasting your struggles is a weakness that will be used against you. No one cares, so you must care enough to fix it yourself. The only person who can save you is you. Get to work.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom