Huyu mwanamke...sitaki nataka.....ni mtihani.....

Huyu mwanamke...sitaki nataka.....ni mtihani.....

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,733
Reaction score
14,160
Hata vitoto vya Alfu mbili havi 'behave'..namna hiyo.... we bi.mkubwa ni vipi? wewe ni mtu mzima mwenzangu na wote kwa sasa tuna wajukuu.....
Tunayapanga fresh mambo ya ki utu uzima then unauza gazeti zima kwa shoga yako,,,,,daah! nishai sana...... mimi sina hili wala lile...shoga yako ananitazama kwa jicho la haloo halooo 😉😉 mpaka mwanaume ninasawajika..salamaleko......
KImsingi huyu mwanamama ana hulka ya kubadilika badilika....anaweza leo akanichekea maongezi yakawa ya kiungwana then ghafla bila sababu yeyote anabadilika yaani mood ina change..kwa ghafla anakuwa ni kisirani kisichofaa kusimuliwa!!! mpaka Abdalah kichwa wazi ananywea anaona duuuh hili nyaaash nitalisukuma kweli???
Nikiamua kumpotezea yeye ndio wa kwanza kurudi kinyonge na kuanzisha vihadithi vya hapa na pale kama vile anaomba msamaha...ni ki utu uzima namuelewa......lakini daaaaaah.....
 
Wanawake wote wapo hivyo, mwanmke asiye na hizo sifa utamkuta mbinguni ila sio hapa duniani

Jifunze kuishi nao hivyo hivyo

Usijefikiria kuwa siku moja atabadirika
Hata ukitafuta mwingine utayakuta hayo hayo utakachobadiri ni radha ya mbususu tu

Waulize walio oa watakupa shule

Kukaa na hawa viumbe ni sawa na kuishi na kidonda kisicho pona ni maumivu kila siku na hiyo ndio sifa ya mwanaume rijali hata biblia imesema tutakula kwa jasho na tuishi nao kwa akili as if we care yaliyo mema yao na as if we dont care mabaya yao

Jifunze kuishi nao hivyo hivyo sababu ndivyo walivyo

Ukishindwa kataa ndoa kama vijana wa hapa jukwaani ambao wao hutaka kuishi kilaini laini
 
Hata vitoto vya Alfu mbili havi 'behave'..namna hiyo.... we bi.mkubwa ni vipi? wewe ni mtu mzima mwenzangu na wote kwa sasa tuna wajukuu.....
Tunayapanga fresh mambo ya ki utu uzima then unauza gazeti zima kwa shoga yako,,,,,daah! nishai sana...... mimi sina hili wala lile...shoga yako ananitazama kwa jicho la haloo halooo 😉😉 mpaka mwanaume ninasawajika..salamaleko......
KImsingi huyu mwanamama ana hulka ya kubadilika badilika....anaweza leo akanichekea maongezi yakawa ya kiungwana then ghafla bila sababu yeyote anabadilika yaani mood ina change..kwa ghafla anakuwa ni kisirani kisichofaa kusimuliwa!!! mpaka Abdalah kichwa wazi ananywea anaona duuuh hili nyaaash nitalisukuma kweli???
Nikiamua kumpotezea yeye ndio wa kwanza kurudi kinyonge na kuanzisha vihadithi vya hapa na pale kama vile anaomba msamaha...ni ki utu uzima namuelewa......lakini daaaaaah.....
Achana nae huyo ana Bipolar disorder.
 
Achana nae huyo ana Bipolar disorder.
Hivi hakuna dawa ya kumsaidia? Au angalau mbinu......kinachonitisha ni kwamba akibadilika anakuwa na hasira kali mno tena bila sababu....
 
Hivi hakuna dawa ya kumsaidia? Au angalau mbinu......kinachonitisha ni kwamba akibadilika anakuwa na hasira kali mno tena bila sababu....
Kama sio chai na kweli unahitaji msaada wa kumuweka sawa huyo kikongwe, njoo pm
 
Mwanamke ndivyo alivyo unaweza Kuta ki under 20 kina behave kiutu uzima kuliko adult
 
Back
Top Bottom