Kwa wenzetu mambo safi kusema i love you dady au mom ni kitu cha kawaida sana ila kwa cc wa ushwahilini ni tofauti mtu akisema anakupenda anakuwa na maana moja tu kimapenzi sasa bhasi huyo demu anakupenda ila hana hisia na ww hisia ndo zinatofautisha upendo kti ya baba ,mama na mpenzi au mume