Huyu mwanamke kila siku ikifika saa 6 usiku, simu yake inatumika

juvenile davis

JF-Expert Member
Apr 13, 2015
4,752
4,449
Mapenzi hayana mjanja,unaweza kuwa mjanja na ukanasa kwenye penzi kwa mtu mlugaluga hadi watu wakakushangaa, au ukanaza na kuzama kwa mtu malaya.

Sasa hii imenitokea mimi.kuna mrembo nimemzimia ni balaa ila ananipa stress sana.kwa sababu tangu tujuane yeye kila siku ifikapo saa 6 usiku nikipiga simu yake inakuwa inatumika. Saa zingine hata saa 8 usiku inatumika, ukiuliza anakwambia anaongea na marafiki zake. Sasa kibaya zaidi siku akilala kwangu simu yake huwa anaizima na anawasha tukishaagana.

Mara nyingi huwa namrudisha kwao na gari yangu asubuhi. Nalazimika kumrudisha na gari yangu kwa sababu anakaa Sinza Lego na mimi nina duka langu pale Sinza kumekucha, so ni kama nampa lifti tu.

Waungwana nifanyeje maana ananipa mawazo sana juu ya hilo jambo.na nimezimika vibaya kwake kiasi kwamba natamani nimpe mimba na yeye ili aniongezee idadi ya watoto.
 
Achana naye,akiwa mbali na ww anaongea na mwingine,kama ni marafiki kwanini siku akilala kwako azime simu?anajua hataweza kuongea naye,achana na huyo shori
 
Mapenzi hayana mjanja,unaweza kuwa mjanja na ukanasa kwenye penzi kwa mtu mlugaluga hadi watu wakakushangaa,au ukanaza na kuzama kwa mtu malaya.
Sasa hii imenitokea mimi.kuna mrembo nimemzimia ni balaa ila ananipa stress sana.kwa sababu tangu tujuane yeye kila siku ifikapo saa 6 usiku nikipga simu yake anakuwa anatumika,saa zingine hata saa 8 usiku inatumika,ukiuliza anakwambia anaongea na marafiki zake,sasa kibaya zaidi siku akilala kwangu simu yake huwa anaizima na anawasha tukishaagana.mara nyingi huwa namrudisha kwao na gari yangu asubuhi.nalazimika kumrudisha na gari yangu kwa sababu anakaa sinza rego,na mimi nina duka langu pale sinza kumekucha,so ni kama nampa lifti tu
Waungwana nifanyeje maana ananipa mawazo sana juu ya hilo jambo.na nimezimika vibaya kwake kiasi kwamba natamani nimpe mimba na yeye ili aniongezee idadi ya watoto
Tulia wakusaidie kulea
 
Mmmh kama Sinza Legho hebu njoo inbox mana na mimi kuna kamchepuko kangu kanatabia hizo,mana ikifika kuanzia saa tano usiku simu yake inakuwa busy na Wknd ndio anaweza asipatikane kabisa akipatikana visingizio 100.
 
ukiona simu ya mpenz wako iko busy mara kwa mara kuanzia saa 4 usiku. Hapo mnashare love. Halafu viumbe hawa wanajua kujitetea halaf wapo full confident.
Hapo haupo peke yako ni mshare love na km bado umeng'ang'ania tu kuwa naye. Uache wivu. Ukikuta ipo busy uassume km anaongea na mama yake au kaka yake.
HIV KILLS
 
Mapenzi hayana mjanja,unaweza kuwa mjanja na ukanasa kwenye penzi kwa mtu mlugaluga hadi watu wakakushangaa,au ukanaza na kuzama kwa mtu malaya.
Sasa hii imenitokea mimi.kuna mrembo nimemzimia ni balaa ila ananipa stress sana.kwa sababu tangu tujuane yeye kila siku ifikapo saa 6 usiku nikipga simu yake anakuwa anatumika,saa zingine hata saa 8 usiku inatumika,ukiuliza anakwambia anaongea na marafiki zake,sasa kibaya zaidi siku akilala kwangu simu yake huwa anaizima na anawasha tukishaagana.mara nyingi huwa namrudisha kwao na gari yangu asubuhi.nalazimika kumrudisha na gari yangu kwa sababu anakaa sinza rego,na mimi nina duka langu pale sinza kumekucha,so ni kama nampa lifti tu
Waungwana nifanyeje maana ananipa mawazo sana juu ya hilo jambo.na nimezimika vibaya kwake kiasi kwamba natamani nimpe mimba na yeye ili aniongezee idadi ya watoto
kabla ya mimba...anza na vvu then mimba. bonge la sequence
 
Mapenzi hayana mjanja,unaweza kuwa mjanja na ukanasa kwenye penzi kwa mtu mlugaluga hadi watu wakakushangaa,au ukanaza na kuzama kwa mtu malaya.
Sasa hii imenitokea mimi.kuna mrembo nimemzimia ni balaa ila ananipa stress sana.kwa sababu tangu tujuane yeye kila siku ifikapo saa 6 usiku nikipga simu yake anakuwa anatumika,saa zingine hata saa 8 usiku inatumika,ukiuliza anakwambia anaongea na marafiki zake,sasa kibaya zaidi siku akilala kwangu simu yake huwa anaizima na anawasha tukishaagana.mara nyingi huwa namrudisha kwao na gari yangu asubuhi.nalazimika kumrudisha na gari yangu kwa sababu anakaa sinza rego,na mimi nina duka langu pale sinza kumekucha,so ni kama nampa lifti tu
Waungwana nifanyeje maana ananipa mawazo sana juu ya hilo jambo.na nimezimika vibaya kwake kiasi kwamba natamani nimpe mimba na yeye ili aniongezee idadi ya watoto
Kwakua mkiwa naye anazima simu yake ili mkae na kufanya yenu kwa utulivu,vivyohivyo akiwa hayupo kwako mwachie Uhuru wake,kama hauwezi hilo basi amua kuchemsha au kukaanga.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom