Huyu mwanamke hataki kufanya usafi

Huyu mwanamke hataki kufanya usafi

Kidume cha mbegu

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2015
Posts
1,251
Reaction score
710
Habari zenu waote Jf,

Nina mahusiano na mdada mmoja hivi ni mzuri na ni mdada anayejielewa ila sasa kinachonichanganya na kunipa maswali mengi yeye huwa hapendi kabisa kunyoa sehemu zake za siri kabisa yani mpaka unakuwa ugomvi ukimwambia kuwa nyoa huko chini.

Nakumbuka mara ya mwisho alinyowa mwezi wa kumi na mbili tena kwa kugombana sana na mimi ndiyo kanyowa hivi mdada huyu anamanishaga nini? Au nini hasa sababu ya kugoma kunyoa?

Naombeni msaada hata wa mawazo nimfanyeje? Au niachane naye tu?

Msaada jamani
 
habari zenu waote jf

Nina mahusiano na mdada mmoja hiv ni mzuri na ni mdada anayejielewa ila sasa kinachonichanganya na kunipa maswali mengi yeye huwa hapendi kabisa kunyowa sehemu zake za siri kabisa yani mpaka unakuwa ugomvi ukimwambia kuwa nyowa huko chini.
Nakumbuka mara ya mwisho alinyowa mwezi wa kumi na mbili tena kwa kugombana sana na mimi ndiyo kanyowa
hiv mdada huyu anamanishaga nini? Au nini hasa sababu ya kugoma kunyowa ?
Naombeni msaada hata wa mawazo nimfanyeje? au niachane naye tuu ?

msaada jamani

Umalaya utakuua mpumbavu na lofa mkubwa. leo siku ya ibada unawaza umalaya. Ulaaniwe
 
Umalaya utakuua mpumbavu na lofa mkubwa. leo siku ya ibada unawaza umalaya. Ulaaniwe

Acha ubaguzi Mkuu, si wote wanaoingia ibadani siku kama ya leo, na kwanini alaaniwe wakati anamzungumzia mtu wake?
 
Umalaya utakuua mpumbavu na lofa mkubwa. leo siku ya ibada unawaza umalaya. Ulaaniwe
haaaa malaya ni wew na lofa ni wew mwenyewe ujajifanya mtu wa ibada mjinga kweli na una unaakili fupi kama mkia wa mbuzi
 
Mdanganye unamfanyia maseji halaf mpake MAGIC SHAVE
 
ila mwanamke akiwa ananyoa sana nayo inatia mashaka kwamba atakuwa anahudhuria vikao vingi nje......
 
Kidume cha mbegu

Mwanamke Anaejitambua Anagomaje Kufanya Mausafi?? Alafu Usimwambiege Anyoe Huko Chini, Pengne Hapo Akuelewagi!!! Chini Sakafuni Au Mchangani?? Sasa, Hiyo Inshu Sio Sabbu Ya Ww Kumuacha, Kiukwel Minywele Hiyo Ikiwa Chaka, Inaboa!! Kaa Nae Umueleze Umuhimu Wa Kunyoa, Asipoelewa Itabidi Uwe Nae Tuu Hivyo Hivyo, Maana Hakuna Namna Tena!! Ila La Msingi Awe Anafanya Mausafi Ya Maana Ikibidi Awe Anaweka Na Black Nn Sijui....Ile Zinakua Nyeusiiiii Awe Anapulizia Na Kapafyumu....Mambo Kma Hayo Ila Sio Umuache. Ikishindikana Yote...., Nipe Mimi Tuu Huyo Maana Hakuna Namna Tena Nawe Aupendi Chaka Kuvumilia Auwezi. Alafu Ww Ndio Unaemjua Vizur, Unaweza Angalia Ambapo Unaweza Mbana Mpka Akaacha Ufugaji, Muhimu Isije Kuwa Anayo Idea Ya Kufuga Rasta....!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hii ni tabia ya mademu weupe wachafu sana uzuri usoni tu ,mpe likizo ya mwezi au mpaka ashave ndo upige game
 
mhhh labda atakuwa na sababu za msingi aisee..what i know kuna watu wanapenda kuacha nywele kidogo kistyl fulani ila cyo likichaka..endelea kumshauri kistaarabu ajisafishe
 
Back
Top Bottom