Kama ni kweli basi Dunia inamambo. Kunabadhi ya vitu au matukio huwa mtu hamshirikishi mwenzake ndugu/ rafiki mpaka siku anazikwa kaburini (nivyoamini Mimi), Kwa upande wako hili sijui kama lipo? Fanya utafiti chukua hatua kulialia/kusimulia sio tiba, Ila ni fedheha tu unavuna.