Huyu mwanamke amenishangaza

Huyu mwanamke amenishangaza

Nashindwa kuelewa kuhusu hii gender kwamfano mimi kuna dada mmoja mzuri sana nafanya nae kazi aiseh sina mpango nae na uzuri wake .... nipo busy sana na nina mu avoid mostly kiufupi huwa sitaki mazoea na wadada apa kazini kwangu lakini yeye ndo amekuwa mtu wa kwanza kunionesha ananitaka na anawaambia ata watu .......nadhani hiyo pia ni nature ya mwanamke sijui ???

NB: bro tunza ndoa yako
 
Bado huja prove kumchezea so anaweza sema hivyo kukuonye
Kuna dada nafanya nae biashara jiran. Yeye ni mgeni amekuja karibuni. Ni mzuri saana na ni single maza. Sasa mwana mmoja ambae tunafanya nae biashara ya aina moja ola ofisi yake iko mtaa mwingine akatokea kumuelewa huyu demu. So akaanza kufukuzia. Akawa anakuja pale mtaa biashara yetu ilipo mara kwa mara

Huyo jamaa hajaoa, so yuko tayari kama demu akiwa material awe nae ktk serious relationship.

Sasa maajabu mwana akiondoka demu anakuja anaanza kunisimulia namna anavotongozwa na jamaa.
Sasa aliponishangaza akasema, yaan huyu jamaa siwezi mpa mzigo. Bora nikupe wewe. Akiwa na maana mimi. Sasa anajua me nmeoa na wife huwa anakuja ofisin tunashinda nae, so automat anajua akinipa me ntakula tuu ntachezea then ntamuacha sina future nae. Lkn mwana anaweza oa.

Sasa nawaza anawaza nn.. anataka kuchezewa tu? nngesema labda amefata pesa, lkn jamaa tunafanana kipato, sababu ukubwa wa biashara ni ule ule tuu... kwanini amkatae single boy anitake mume wa mutu.
Sha tuu kwamba hana feelings na huyo jamaa, maana hata wewe ukijaribu kuomba kisa amesema boora akupe wewe anaweza asikupe pia. Uliza jamaa kakosea wapi mpaka uyo mwanamke aseme boora akupe Wewe. Si ajabu jamaa ana majigambo au mambo yakitoto demu kaona.
Dont trust a woman...na inaweza chukua muda kuelewa alicho maanisha mwanamke
 
Bado huja prove kumchezea so anaweza sema hivyo kukuonye
Kuna dada nafanya nae biashara jiran. Yeye ni mgeni amekuja karibuni. Ni mzuri saana na ni single maza. Sasa mwana mmoja ambae tunafanya nae biashara ya aina moja ola ofisi yake iko mtaa mwingine akatokea kumuelewa huyu demu. So akaanza kufukuzia. Akawa anakuja pale mtaa biashara yetu ilipo mara kwa mara

Huyo jamaa hajaoa, so yuko tayari kama demu akiwa material awe nae ktk serious relationship.

Sasa maajabu mwana akiondoka demu anakuja anaanza kunisimulia namna anavotongozwa na jamaa.
Sasa aliponishangaza akasema, yaan huyu jamaa siwezi mpa mzigo. Bora nikupe wewe. Akiwa na maana mimi. Sasa anajua me nmeoa na wife huwa anakuja ofisin tunashinda nae, so automat anajua akinipa me ntakula tuu ntachezea then ntamuacha sina future nae. Lkn mwana anaweza oa.

Sasa nawaza anawaza nn.. anataka kuchezewa tu? nngesema labda amefata pesa, lkn jamaa tunafanana kipato, sababu ukubwa wa biashara ni ule ule tuu... kwanini amkatae single boy anitake mume wa mutu.
Sha tuu kwamba hana feelings na huyo jamaa, maana hata wewe ukijaribu kuomba kisa amesema boora akupe wewe anaweza asikupe pia. Uliza jamaa kakosea wapi mpaka uyo mwanamke aseme boora akupe Wewe. Si ajabu jamaa ana majigambo au mambo yakitoto demu kaona.
Dont trust a woman...na inaweza chukua muda kuelewa alicho maanisha mwanamke
 
Kuna siku nilipita mahala nikakuta waliooa wanapeana madini. Niliondoka na ili

"Usile mwanamke anaemjua mke wako"

Sikusikia kwann. Ila ndio ivo.
 
Wengine wabeba nyota kuweni makini ,hasa madem wanaojilengesha
 
Single maza sio wanawake wa kuweka nao mazoea kabisa atakuharibia ndoa yako

Single maza ni laana
 
Back
Top Bottom