Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 2,050
- 4,602
Huwa wanataka mwanaume mwenye mwanamke au wanawake.
Mademu huwa wanajua kusoma wanaume kwa haraka sana. Ameshaona kwako ni rahisi kuvuna. Inaonekana yeye hataki serious relationship. Yeye anataka buzi la kuchuna ili maelengo yake ya biashara yatimie na ameona wewe ndiyo utakuwa msaada zaidi ya huyo mwenzako. Ulishakia ule usemi wa hotelini wa ''faaaa kajaaaa, pakua wali wa jaaaa? (fala kaja, pakua wali wa jana)Kuna dada nafanya nae biashara jiran. Yeye ni mgeni amekuja karibuni. Ni mzuri saana na ni single maza. Sasa mwana mmoja ambae tunafanya nae biashara ya aina moja ola ofisi yake iko mtaa mwingine akatokea kumuelewa huyu demu. So akaanza kufukuzia. Akawa anakuja pale mtaa biashara yetu ilipo mara kwa mara
Huyo jamaa hajaoa, so yuko tayari kama demu akiwa material awe nae ktk serious relationship.
Sasa maajabu mwana akiondoka demu anakuja anaanza kunisimulia namna anavotongozwa na jamaa.
Sasa aliponishangaza akasema, yaan huyu jamaa siwezi mpa mzigo. Bora nikupe wewe. Akiwa na maana mimi. Sasa anajua me nmeoa na wife huwa anakuja ofisin tunashinda nae, so automat anajua akinipa me ntakula tuu ntachezea then ntamuacha sina future nae. Lkn mwana anaweza oa.
Sasa nawaza anawaza nn.. anataka kuchezewa tu? nngesema labda amefata pesa, lkn jamaa tunafanana kipato, sababu ukubwa wa biashara ni ule ule tuu... kwanini amkatae single boy anitake mume wa mutu.
🤣🤣🤣🤣 kumekuchaaUnajipakulia minyama tu...wala hakutaki.
Toka hapa na chai yako.
Jirani wivu huo, muache mwenzio ajibebee single maza wake 🤣🤣🤣🤣Sio kila ke ni wakusuuza rungu, muache ajitongozeshe akiona humpi attention kuhusu hayo atajiongeza.
Madem wa kujitongozesha wanakataga STIMKuna dada nafanya nae biashara jiran. Yeye ni mgeni amekuja karibuni. Ni mzuri saana na ni single maza. Sasa mwana mmoja ambae tunafanya nae biashara ya aina moja ola ofisi yake iko mtaa mwingine akatokea kumuelewa huyu demu. So akaanza kufukuzia. Akawa anakuja pale mtaa biashara yetu ilipo mara kwa mara
Huyo jamaa hajaoa, so yuko tayari kama demu akiwa material awe nae ktk serious relationship.
Sasa maajabu mwana akiondoka demu anakuja anaanza kunisimulia namna anavotongozwa na jamaa.
Sasa aliponishangaza akasema, yaan huyu jamaa siwezi mpa mzigo. Bora nikupe wewe. Akiwa na maana mimi. Sasa anajua me nmeoa na wife huwa anakuja ofisin tunashinda nae, so automat anajua akinipa me ntakula tuu ntachezea then ntamuacha sina future nae. Lkn mwana anaweza oa.
Sasa nawaza anawaza nn.. anataka kuchezewa tu? nngesema labda amefata pesa, lkn jamaa tunafanana kipato, sababu ukubwa wa biashara ni ule ule tuu... kwanini amkatae single boy anitake mume wa mutu.

U made my day 😂😂😂Unajipakulia minyama tu...wala hakutaki.
Toka hapa na chai yako.
This is maturity mkuu, maeneo ya kazini, maeneo ya nyumbani na unapofanya ibada sio maeneo ya kufanyia ujinga hata kidogo.Sipo interested.. huwa sichepuki kwa demu anaefahamiana na wife. Never
HahaUnajipakulia minyama tu...wala hakutaki.
Toka hapa na chai yako.
Za kisngeMada za jamii forum zimekua za kipumbavu.