Huyu mwanamke ameniroga,,,

Hii comment yako imetitega nijielezee ningesema niyajibu mojamoja nami mjanja kama wewe 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hahahahahahahah yaan huyu tumpe tu pole kwa anayopitia ..yaan mke anashindia dera wiki nzima hadi anakuja huku jf kulalamika...halafu anatufananisha na mke wake..sisi hatumcheki huyo mke wake Ila tu kama mkewe ndiye yuko rough apambane tu na hali yake kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan
Anataka tumuogope na tumpongeze kwa kukashif wanawake. Utakuta mamaake mzazi ana sifa zote hizo alizoziandika hapo. Hana adabu huyu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani huyu ni adabuless kabisa..ana maneno machafu kama yanatoka chooni..sema siyo mbaya hata mama yake Nina na shangazi zake imani wana hayo maumbile ambayo mwanaye anayapondea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha! Plz niunganishe na huyo mwana nami anipeleke kwa huyo fundi alokutengeneza. Ili hata na mie nikifumwa isiwe noma...ni mwendo wa kurogana tu sahiv
🤣🤣🤣Mkuu sio mimi ni mleta mada hata mimi nahitaji hiyo namba
 
Achana naye Wengine tunaipenda hiyo michirizi ya utam

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…