Huyu mwanamke ameniroga,,,

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata kama ikiwa ya kutoa kafara yeye mwenyewe safiii tu fyeekelea mbalii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee kweli umependa, lkn najua bado huna uzoefu, mwelewe tu ivoivo wanaume wote tupo ivo[emoji23][emoji23][emoji23]
Pia usisahau tupo wengi bado waweza chagua mwenye nafuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Dawa ya kujikomboa ni rahisi mno, usimwambie huyo demu....fanya hivi, kama wewe ni mwanamme wa Dar hii kitu utakuwa na uzoefu nao by now. Tafuta mwanamme mwenzako akushikishe ukuta na akukojolee, utaona unaanza kuwa na nguvu ya kukojolea mademu wengine tena kwa raha tu.
 
Sawa wote mko hivyo ila ujue kuna USALITI wa adabu kiasi na USALITI wa ajabu. Yaani mtu mnasuluhusha maugomvi mpaka unachoka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣haki vile huyo best anipe namba mimi.
 

na inaelekea mkewe ni mchafu na anashindia dera moja wiki nzima ndomana amekuja kulalamika na kumkashif mkewe hapa kwenye Comments, maana alijuaje kuna wanawake hawabadilishi dera kama hajaexperience hayo ndani ya nyumba yake [emoji23][emoji23] alitaka tumshangilie kukashif wanawake eti kwakua sisi hatupo hivo ili tuambiwe adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie. Hakuna anaeijua kesho yake,

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ni kweli huwa inatokea...wanawake wanatofautiana sana kwenye mahaba....kuna mmoja huyo huwa ananifanya nijione bado nina nguvu zilee za zamani enzi zangu kwa jinsi anavyonikojolesha mara nyingi......mwingine unatamani kukuche aondoke.....kwa wife kimoja tu mpaka asubuhi....basi sheeda tupu
 
1.Unakunywa pombe,
2.Rangi yako nyeusi
3.umri wako umevuka 30 bado ndoa haieleweki
4.mapaja yako karibia na kijiji meusi [emoji3][emoji3][emoji3]
5.Mrahisi kupanic hata kwa ishu ndogo
6.Muoga wa maisha
7.Una vidonda vya tumbo
8.Unapenda mwanaume awe anakusikiliza wewe tu la sivyo unamuona hakufai.
9.Unapenda kupiga virungu sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umepatia pongezi kwako.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…