Habari wana MMU
Msishangae naandka nn hapa bado npo kitandan najivuta kuamka nkatafute ulaji Lkn
Ucku Wang haukuwa mzur!kifupi kuna kijana mmoja ni mwanajeshi mzanzibar,nmefahamiana nae n kama mwezi kiukwel nkwamba anadai ananpnda sana,lakin nilimwambia nna mchumba anadai yupo tyari kwa lolote mrad nije kuwa mkewe, mwanzo sikuwa hata nawazo nae ila cku mbili hizi nmejikuta nampnda sana hta ucku clali namuwaza had basi!
Anaonesha anajali kuliko mchumba Wang
Hapa nipo njia panda
Nipeni mawazo yenu wakuu
Nimeghairi, .... jinsi unavyoandika.Habari wana MMU
Msishangae naandka nn hapa bado npo kitandan najivuta kuamka nkatafute ulaji Lkn
Ucku Wang haukuwa mzur!kifupi kuna kijana mmoja ni mwanajeshi mzanzibar,nmefahamiana nae n kama mwezi kiukwel nkwamba anadai ananpnda sana,lakin nilimwambia nna mchumba anadai yupo tyari kwa lolote mrad nije kuwa mkewe, mwanzo sikuwa hata nawazo nae ila cku mbili hizi nmejikuta nampnda sana hta ucku clali namuwaza had basi!
Anaonesha anajali kuliko mchumba Wang
Hapa nipo njia panda
Nipeni mawazo yenu wakuu
Habari wana MMU
Msishangae naandka nn hapa bado npo kitandan najivuta kuamka nkatafute ulaji Lkn
Ucku Wang haukuwa mzur!kifupi kuna kijana mmoja ni mwanajeshi mzanzibar,nmefahamiana nae n kama mwezi kiukwel nkwamba anadai ananpnda sana,lakin nilimwambia nna mchumba anadai yupo tyari kwa lolote mrad nije kuwa mkewe, mwanzo sikuwa hata nawazo nae ila cku mbili hizi nmejikuta nampnda sana hta ucku clali namuwaza had basi!
Anaonesha anajali kuliko mchumba Wang
Hapa nipo njia panda
Nipeni mawazo yenu wakuu
Anaonesha anajali kuliko mchumba Wang
Hapa nipo njia panda
Nipeni mawazo yenu wakuu
"Anaonesha anajari"
Sisi wanaume huwa tunajua sana kujari kabla ya kupata yale mambo yetu. We mpe tu ndio utajua kati yake na huyo wa sasa hivi nani anajua "kujari"
Ujue ndio maana mkiambiwa wanawake hamna msimamo msilalamike. Its just that there is no certainty when dealing with you guys.
Anajali kuliko mchumba kwani unawashindanisha? (Maslahi na ndoa ni vitu tofauti dada)
Kujali unakutafsirije wewe? Kwa sababu mimi nikiwa nakupa 10,000/= akaja anayekupa 100,000/= si kwamba anajali kuliko mimi, labda ndo uwezo wake? na ukiniacha kwa ajili yake akaja wa kutoa 1M?
Hebu malizia kulala halafu uje uandike tena kwa kweli...Manake hizi stress za kwenda kugombea daladala inawezekana zishakuvuruga asubuhi asubuhi
MBNA unanchukulia poa msee? Kama huna ushauri syo lazma uandike upmbav wako hapa sipo after money kama ulivyokariri am taking about relationship!
MBNA unanchukulia poa msee? Kama huna ushauri syo lazma uandike upmbav wako hapa sipo after money kama ulivyokariri am taking about relationship!