estlyjonathan
Member
- May 26, 2016
- 84
- 122
Kuna Kaka mmoja kanitokea anasema ananipenda na kwa upande wangu huyu jamaa nilikuwa nampenda zamani hizo ila sikumwambia sasa kajileta mwenyewe, na huyu kaka ana mwanamke anaishi nae na wana mtoto nilichomwambia kuwa kama unahitaji kuwa na mimi aachane na baby mama wake ndo tuta make love ananiambia eti atamuacha taratibu hivi kumuacha mtu taratibu ndo anamaanisha nini mana nilicheka sana