Huyu mtu aliyebuni slogani ya "No reforms No election" ndani ya CHADEMA ana akili sana, tumpe maua yake!

Huyu mtu aliyebuni slogani ya "No reforms No election" ndani ya CHADEMA ana akili sana, tumpe maua yake!

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
2,106
Reaction score
3,027
Serikali ya CCM ,inalala na viatu, inahaha, kila mbinu chafu wakileta unashindwa kuuzima moto wa No reforms No election.

Hapa kila Mtanzania anaimba , huu wimbo, "CCM wanaimbia kimoyoyo" , mpaka viongozi wa dini mashekhe, mapadirii,wachungaji, maskofu, yaani kila kona ya nchi ni No reforms No election,

Hehe ndo anachochea kuni moto wa kuni fulani mbeya zinaitwa "eengote" Tulia Askon anazifahamu.hizo kuni ni balaaa kwa moto , "Heche ni eengote"

Mungu ibariki CHADEMA, Mungu ibariki Tanzania. By mwinjilist wenu Gabeji.
 
Serikali ya CCM ,inalala na viatu, inahaha, kila mbinu chafu wakileta unashindwa kuuzima moto wa No reforms No election.

Hapa kila Mtanzania anaimba , huu wimbo, "CCM wanaimbia kimoyoyo" , mpaka viongozi wa dini mashekhe, mapadirii,wachungaji, maskofu, yaani kila kona ya nchi ni No reforms No election,

Hehe ndo anachochea kuni moto wa kuni fulani mbeya zinaitwa "eengote" Tulia Askon anazifahamu.hizo kuni ni balaaa kwa moto , "Heche ni eengote"

Mungu ibariki CHADEMA, Mungu ibariki Tanzania. By mwinjilist wenu Gabeji.
Gentleman,
naona kama ni ulofa kubuni kitu kisicho na faida na kukisifu 🐒
 
Serikali ya CCM ,inalala na viatu, inahaha, kila mbinu chafu wakileta unashindwa kuuzima moto wa No reforms No election.

Hapa kila Mtanzania anaimba , huu wimbo, "CCM wanaimbia kimoyoyo" , mpaka viongozi wa dini mashekhe, mapadirii,wachungaji, maskofu, yaani kila kona ya nchi ni No reforms No election,

Hehe ndo anachochea kuni moto wa kuni fulani mbeya zinaitwa "eengote" Tulia Askon anazifahamu.hizo kuni ni balaaa kwa moto , "Heche ni eengote"

Mungu ibariki CHADEMA, Mungu ibariki Tanzania. By mwinjilist wenu Gabeji.
Anayeitekeleza ndo anaakili sana
 
Serikali ya CCM ,inalala na viatu, inahaha, kila mbinu chafu wakileta unashindwa kuuzima moto wa No reforms No election.

Hapa kila Mtanzania anaimba , huu wimbo, "CCM wanaimbia kimoyoyo" , mpaka viongozi wa dini mashekhe, mapadirii,wachungaji, maskofu, yaani kila kona ya nchi ni No reforms No election,

Hehe ndo anachochea kuni moto wa kuni fulani mbeya zinaitwa "eengote" Tulia Askon anazifahamu.hizo kuni ni balaaa kwa moto , "Heche ni eengote"

Mungu ibariki CHADEMA, Mungu ibariki Tanzania. By mwinjilist wenu Gabeji.
Nakubaliana na wewe, lakini kumbuka 'slogan' hiyo ni matokeo ya "idea', (wazo); la kutoshiriki, au kuzuia uchaguzi; likatengenezewa mpangilio huo unao uona na kuusifu wakati huu.

Tuanzie kwenye 'idea' (wazo) lilibuniwa lini na wapi.

Ukitafuta ndani ya JF; kwenye jukwaa hili hili la siasa, unaweza kupata ni wapi wazo hilo lilianza kupendekezwa.
 
Gentleman wewe nafsi Yako , umeshaiuza mda mrefu, hapo hapo ulipo haujiuwi, Rushwa imekupofusha akili
huna haja ya kubababika na nafasi ya mwingine gentleman.

hebu waelezee wadau kwa kifupi tu, faida mbili tu za hiyo nonsense ya no reform no elections, na kwakweli itapendeza zaidi 🐒
 
huna haja ya kubababika na nafasi ya mwingine gentleman.

hebu waelezee wadau kwa kifupi tu, faida mbili tu za hiyo nonsense ya no reform no elections, na kwakweli it

huna haja ya kubababika na nafasi ya mwingine gentleman.

hebu waelezee wadau kwa kifupi tu, faida mbili tu za hiyo nonsense ya no reform no elections, na kwakweli itapendeza zaidi 🐒
Inapinga uwizi wa kura, inagandisha uzalendo, inapinga serikali ya kidikt eta, inapinga mafisadi, inapinga utekaji, kua watu, nk, sema nn gentleman ,wewe umeamua kuuza nafsi Yako ,hata hivyo sikulaumu,kuna siku utaenda kuidai na utapata akili upya
 
Alitunga Mbowe sema yeye alikuwa anatania tu mara ghafla watu wakapita nayo serious
hawakujua moja ya hasara yake ni pamoja na wanachama kujiengua na kuikimbia chadema.

na hii inatufundisha kuepuka kuiga vitu kichwa kichwa 🐒
 
Back
Top Bottom