Huyu mtoto wa Kihaya vp???ni wivu tu au?

liman

Member
Mar 25, 2010
29
4
Jamani wadau asalam maleko wakubwa,nina mchumba wa kiaya me mchaga,tatizo lake ni wivu uliopindukia kosa asione jina la kike kwenye phne book yangu tatzo,nsipigiwe cm ata na dada pamoja na kwamb wanafaamiana,akipig nsipopokea ugomvi,kila akishika cm faster ni kwenye msg,akizikuta ni shda asipozikuta ni shda,wadau ntayamudu kwel aya!!ila mambo anayaweza tena sana ci unajua tena izo pande za bk,wadau ushauri plse
 
huyu mchumba wa KIAYA mbona hujatuambia ni mtu wa wapi?kenya, uganda au zaire. nime google hata computer imeshindwa toa jibu
 
Those are your private domain, so please keep them to yourself. mbona hutuambii kama anakupa papa au anakunyima, unailaje, huyo demu wa kiaya anajituma au...! pls keep them to yourself!
 
mnh too much inakuwa kero-mtu anakuwa kama anakupossess bwana-mie naona ni dalili ya kutokuamini,jaribu kutafuta njia za kumfikishia ujumbe kuwa unampenda na ni yeye tu unayempenda-gradually ataanza kukutrust ...na hii tabia itapotea ukiona harekebishiki mpotezeee..usije ukakonda bure.:teeth:
 
Huyo mshamba na mwizi tu.anafikiri anachofanya yeye na wewe unafanya.kwa ndoa hafai.atakufanya uaenze kuokota makopo huku umevaa chupi kichwani muda si mrefu.kama nyama tamu kama unavyodai we kula tani yako ila usije ukathubutu kuiweka ndani
 
Jamani wadau asalam maleko wakubwa,nina mchumba wa kiaya me mchaga,tatizo lake ni wivu uliopindukia kosa asione jina la kike kwenye phne book yangu tatzo,nsipigiwe cm ata na dada pamoja na kwamb wanafaamiana,akipig nsipopokea ugomvi,kila akishika cm faster ni kwenye msg,akizikuta ni shda asipozikuta ni shda,wadau ntayamudu kwel aya!!ila mambo anayaweza tena sana ci unajua tena izo pande za bk,wadau ushauri plse

weka passward kushnei
 
Jamani wadau asalam maleko wakubwa,nina mchumba wa kiaya me mchaga,tatizo lake ni wivu uliopindukia kosa asione jina la kike kwenye phne book yangu tatzo,nsipigiwe cm ata na dada pamoja na kwamb wanafaamiana,akipig nsipopokea ugomvi,kila akishika cm faster ni kwenye msg,akizikuta ni shda asipozikuta ni shda,wadau ntayamudu kwel aya!!ila mambo anayaweza tena sana ci unajua tena izo pande za bk,wadau ushauri plse
huyo mjanja sana
anakuteka akili
akukosanishe na rafiki zako
halafu akupige chini
hapo ndio utakapojuta
 
hakufai huyo,kwenye maisha lazima mmoja wenu awe chini ya mwenzake sasa huyo mpo nae level moja!hata hivyo combination ya mchaga na mhaya ni ngumu ku survive!
 
Jamani wadau asalam maleko wakubwa,nina mchumba wa kiaya me mchaga,tatizo lake ni wivu uliopindukia kosa asione jina la kike kwenye phne book yangu tatzo,nsipigiwe cm ata na dada pamoja na kwamb wanafaamiana,akipig nsipopokea ugomvi,kila akishika cm faster ni kwenye msg,akizikuta ni shda asipozikuta ni shda,wadau ntayamudu kwel aya!!ila mambo anayaweza tena sana ci unajua tena izo pande za bk,wadau ushauri plse

Utayaweza yote katika yeye akutiae nguvu, Amen
 
Jamani wadau asalam maleko wakubwa,nina mchumba wa kiaya me mchaga,tatizo lake ni wivu uliopindukia kosa asione jina la kike kwenye phne book yangu tatzo,nsipigiwe cm ata na dada pamoja na kwamb wanafaamiana,akipig nsipopokea ugomvi,kila akishika cm faster ni kwenye msg,akizikuta ni shda asipozikuta ni shda,wadau ntayamudu kwel aya!!ila mambo anayaweza tena sana ci unajua tena izo pande za bk,wadau ushauri plse

kiaya = kihaya?

Kwani amekuloga au una tatizo la kupata wachumba? Unapoanza kuja kuomba ushauri jinsi ya kuishi na mchumba maana yake utakapokuwa umeoa utakuwa unalala baa! Uchumba ni process nyepesi sana kuomba ushauri!
 
Jamani wadau asalam maleko wakubwa,nina mchumba wa kiaya me mchaga,tatizo lake ni wivu uliopindukia kosa asione jina la kike kwenye phne book yangu tatzo,nsipigiwe cm ata na dada pamoja na kwamb wanafaamiana,akipig nsipopokea ugomvi,kila akishika cm faster ni kwenye msg,akizikuta ni shda asipozikuta ni shda,wadau ntayamudu kwel aya!!ila mambo anayaweza tena sana ci unajua tena izo pande za bk,wadau ushauri plse
Tuliza kichwa uandike kiswahili sanifu...Kwenye majukwaa haya tusilete vifupi vya kwenye SIMU na kiswahili cha mitaani.
Angalau labda ungekuwa umetuma kwa simu ningeelewa kuwa unabanwa na space.
 
mnh too much inakuwa kero-mtu anakuwa kama anakupossess bwana-mie naona ni dalili ya kutokuamini,jaribu kutafuta njia za kumfikishia ujumbe kuwa unampenda na ni yeye tu unayempenda-gradually ataanza kukutrust ...na hii tabia itapotea ukiona harekebishiki mpotezeee..usije ukakonda bure.:teeth:

najaribu dada lakn inakua ngumu kumpotezea,couse ata md napenda sana
 
Huyo mshamba na mwizi tu.anafikiri anachofanya yeye na wewe unafanya.kwa ndoa hafai.atakufanya uaenze kuokota makopo huku umevaa chupi kichwani muda si mrefu.kama nyama tamu kama unavyodai we kula tani yako ila usije ukathubutu kuiweka ndani

kaka ni kazi lakn,inabidi niwe muangalifu zaid,vngnevyo ntaivaa kwel chupi kichwani
 
Tuliza kichwa uandike kiswahili sanifu...Kwenye majukwaa haya tusilete vifupi vya kwenye SIMU na kiswahili cha mitaani.
Angalau labda ungekuwa umetuma kwa simu ningeelewa kuwa unabanwa na space.

natumia simu kaka.
 
Back
Top Bottom