Joshua justine
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 792
- 1,007
Inawezekana Taifa letu limelaaniwa
Tuna silaha za moto kuua watu kwenye Mbuga za wanyama kisa walienda tu kuwinda swala. Tuna Magari ya TRA (land cruiser) mipakani kuwakamata vijana wanabeba sukari kg 20 kutoka nchi moja kwenda nchi nyingine na kuwapa kesi za uhujumu uchumi. Tuna boti za patrol ziwani 24/7 kukamata wavuvi na...
www.jamiiforums.com
""Yanahitajika mabadiliko ya fikra tu;Wananchi wakiwa na fikra chanya, matokeo yake vyombo vya dola, wanasiasa na viongozi watabadilika kwa kuwa wote hutokana na wananchi.;Kwa sasa asilimia ya wananchi wana fikra za kitumwa za kusifu na kuabudu wanasiasa na viongozi;Vivyo hivyo vyombo vya dola na matokeo yake hata pale penye dharura ya kuokoa, maamuzi ya haraka hayachukuliwi zaidi ya kuwaza viongozi wasio wataalamu watoe maelekezo au kufika eneo la tukio.Kipaumbele wakati wa majanga ni kuwezesha timu za uokozi kwa hali na mali vikiwepo vifaa"".
End of quote.