Huyu msichana mimi simuelewi

Dogo usisumbuke we mtafute mwanamke mzuri ongea naye harafu mwambie aje akukute naye akikuambia nataka niongee na wew mwambie huyu hapa ni mwanandani wangu ongea tu kwa kuwa hata ukinitoa hapa lzm huyu nitamjulisha tu usikilizie gugumiz lake

Akikuvalia bango uwe umejiandaa kama laki na nusu hiv kabla ya kuondoka mwambie hii hapa ya matumiz bby wangu harafu mbusu mbele yake harafu mfuate ukamsikilize


Akili zangu nazijuaga mie tu mtu akinizingua igizo lake ntakalomfanyia nadhani aendako atajifunza
 
Mkuu upo sasa yaani ogopa sana ukikaa kimya unaweza mnyima usingizi
 
Kuna kitu kimoja katika mapenzi ambao wengi hua hatukifahamu; ukweli moyo wa binadamu yeyote, awe mwanamke au mwanaume hua kuna mtu anaye mpenda regardless financial position yake, wanawake kwa kutolijua hilo hukimbilia kwa mwenye pesa, atamvulia pichu but atajikuta ule upweke uliopo moyoni unashindwa kumtoka, yaani there is a right guy for her and of course hata wewe kile kitendo cha kubadiri njia na pia kuleta swali hili humu ni hilo hilo tu linalokusumbua, kwa ufupi hata wewe ulimpenda and still unampenda na huenda moyo utakuuma sana endapo huyu msichana utaona anaolewa na mtu mwingine, hiyo ndio fact ya MAPENZI. Kwangu mimi nakushauri msikilize na baadae fanya maamuzi ya moyoni mwako na sio bla bla zetu, vinginevyo nimalizie tu kwa kusema, K hainaga SHOMBO hata kama imetumika na mwingine.
 
Safi sana mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Me kwa mtazamo wangu nakushauri usikilize moyo unasemaje tunaweza kukuambia kuwa umwache but hatujui wewe moyo na nafsi yako vinakuendesha vip kuhusu huyo mwanamke


Msikilize na kama kakiri kuwa amekosa na hatoludia msamehe uenda atabadilika kutokana na makosa yake


Mala nyingi wanawake huwa tunajuta sana kwa maamuzi yetu ambayo hatufikirii kuwa kesho itakuwaje ni mtazamo wangu kufanya kosa mala moja cyo kosa ila akiludia hapo sasa ndio umpe adhabu but now angalia kile moyo wako unataka.


Kusamehe au kutokusamehe afu kubadilisha njia cyo kwamba mtu utamsahau zinazo kufanya umkumbike ni hisia pita pale pale pa siku zote.
 
Me kwa mtazamo wangu nakushauri usikilize moyo unasemaje tunaweza kukuambia kuwa umwache but hatujui wewe moyo na nafsi yako vinakuendesha vip kuhusu huyo mwanamke


Msikilize na kama kakiri kuwa amekosa na hatoludia msamehe uenda atabadilika kutokana na makosa yake


Mala nyingi wanawake huwa tunajuta sana kwa maamuzi yetu ambayo hatufikirii kuwa kesho itakuwaje ni mtazamo wangu kufanya kosa mala moja cyo kosa ila akiludia hapo sasa ndio umpe adhabu but now angalia kile moyo wako unataka.


Kusamehe au kutokusamehe afu kubadilisha njia cyo kwamba mtu utamsahau zinazo kufanya umkumbike ni hisia pita pale pale pa siku zote.
 
Mimi siyo mdau wa mkubw wa MMU. Lakini lazima nikiri kwamba wewe umenigusa sana kwa uwezo wako wa akili. Hongera sana kwa kuwa na mtizamo mpana.
 
Achana nae wapo warembo zaidi yake pesa yako na uzuri wake pingachini tulia tafakari atakushangaa
 
Mkuu dawa ndogo, mtumie sms mwambie ww & yy mwisho na asiendeleze mazoea then mblock kwenye account zote na ukikutana nae njian usiwe na story nae maana hachelewi kukwambia umsamehe alipitiwa na shetan, wapuuzi kama hao wenye tamaa hiyo ndio dawa yake then akili ikitulia tafuta ke mwingine anayejielewa tangaza ndoa na kadi umpelekee ili ajue ww sio mtu wa kispotispoti
 
Kaka usirudi nyuma uyo atakutesa bandio makusudio yake. Kanae mbali ikibidi hama hapo kabisa,watoto was zuri ni wengi sana
 
wakuu nawashukuru sana kwa ushauri wenu nimejifunza mengi kupitia nyinyi nawaahidi kuleta mrejesho baada ya siku ya kesho kupita ,,
mungu awabariki sana hakika mumenijenga
 
hapana hawezi kuhama kwa sababu ya mpuuzi mmoja!
 
Alichepuka kidogo sasa anataka kirudi njia kuu..
 
Acha aje umsikilize anachosema.Then ulete mrejesho,lakini pia we teketetea ndani kwa ndani ukiwaona wape hi,muonyeshe huumii kwa aliyoyafanya hata kama unaumia,mkataze kuja kwako siku mkikutana atakapokuja kukuona,akikusmasm salam mjibu salam and no more,akikupigia usikasirike mpaka ajione kumbe ulikuwa unasubiri aseme muachane muachane kweli.Usibadilishe namba ya cmu, njia wala nini komaa nao hivyo hivyo.
 
Mkuu pole sana ila sina cha kukushauri ila we fanya uamuzi ambao hautakugharimu

Ila binafsi nna furaha kubwa na nipende kulishirikisha jukwaa hili furaha yangu kubwa kwani namshukuru Mungu sana kwa binti huyu alienipatia Sarai naamini ndie wangu wakufa na kuzikana bila yeye siku haipiti wanaJf mniombee tuweze kufunga ndoa kama itampendeza Mungu

Hapa nawaza kuanzisha uzi kuelezea hisia zangu kwa wanajamii ili nipate mikakati yakinifu kudumisha pendo hili Mangi wa watu meshikwa nikashikamana
 
so ridiculous....! [emoji35] [emoji35]

wanawake wengine mwalimu wao ni kipofu , yani usikute hyo mjamaa alimdanganya kwa kitu kidogo akatema Karanga kwa big g ya kuonjeshwa ,Anyway....

'usikubali kurudia matapishi huyo either anataka comeback au anajua uta make a revange kumkomoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…