makolola
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 765
- 290
Anasema hataki kufanya mapenzi kabla ya ndoa lakini anakuja getto kwangu na kasketi kafupi(kimini) kifupi sana halafu anakaa ovyo naona mpaka nguo ya ndani.
Kiblauzi alichovaa vichuchu vimesimama vinaonekana, cha ajabu nikimgusa anasema hataweza kabisa kufanya mpaka tutakapofunga ndoa.
Sasa najiuliza kama kweli ana msimamo huo iweje aje geto kwangu ovyo namna hiyo na anajua naishi mwenyewe.
Ni nini hasa anakitafuta maana mi sipendi kulazimisha.
Embu nijuzeni huyu ana nini anakitafuta.
Kiblauzi alichovaa vichuchu vimesimama vinaonekana, cha ajabu nikimgusa anasema hataweza kabisa kufanya mpaka tutakapofunga ndoa.
Sasa najiuliza kama kweli ana msimamo huo iweje aje geto kwangu ovyo namna hiyo na anajua naishi mwenyewe.
Ni nini hasa anakitafuta maana mi sipendi kulazimisha.
Embu nijuzeni huyu ana nini anakitafuta.