greater G
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 308
- 215
KIBITI SHWARI, ANAYETAKA NA AENDE – ACP MWAKALUKWA
Msemaki wa Jeshi la Polisi, kamishina msaidizi wa Polisi (ACP), Barnabas Mwakalukwa, amesema hali ya usalama katika wilaya za Mkuranga, Kibiti na Rufiji imeimarika sana na watanzania wanaweza kwendsa huko kufanya shughuli zao buila woga.
Ameyasema haya wakati akizungumza na wahariri wa Mwananchi Communications Limited (MCL) alipofanya ziara ya kujionea shughuli za kampuni hiyo.
ACP Mwakalukwa amesema tangu kuanzishwa kwa kanda maalum ya polisi katika eneo hilo, matukio ya uhalifu yamepungua na polisi wameweza kwa kiasi kikubwa kuwadhibiti watu waliokuwa wanafanya uhalifu.... Kibiti shwari, anayetaka na aende – ACP Mwakalukwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Msemaki wa Jeshi la Polisi, kamishina msaidizi wa Polisi (ACP), Barnabas Mwakalukwa, amesema hali ya usalama katika wilaya za Mkuranga, Kibiti na Rufiji imeimarika sana na watanzania wanaweza kwendsa huko kufanya shughuli zao buila woga.
Ameyasema haya wakati akizungumza na wahariri wa Mwananchi Communications Limited (MCL) alipofanya ziara ya kujionea shughuli za kampuni hiyo.
ACP Mwakalukwa amesema tangu kuanzishwa kwa kanda maalum ya polisi katika eneo hilo, matukio ya uhalifu yamepungua na polisi wameweza kwa kiasi kikubwa kuwadhibiti watu waliokuwa wanafanya uhalifu.... Kibiti shwari, anayetaka na aende – ACP Mwakalukwa
Sent using Jamii Forums mobile app