Dolla_Mbili
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,206
- 2,949
Tafuta manzi ingine piga mke muache na akigundua umekula kwingine ndio unaachika hujagusaNow naona zimenifika kooni
Tafuta manzi ingine piga mke muache na akigundua umekula kwingine ndio unaachika hujagusaNow naona zimenifika kooni
😂😂😂😂dah mi sio kaka
Katka wote ww ndo mtu wa3 kuongea jambo la maanaPanga geto, maisha yaendelee Kama kweli anakupenda atakuwa anaileta unaichapa,
Pamoja.Katka wote ww ndo mtu wa3 kuongea jambo la maana
Tafuta manzi ingine piga mke muache na akigundua umekula kwingine ndio unaachika hujagusa
Kwanza Ni Jambo la aibu kabisa aisee maana unakua umepoteza muda bure na amekufanya uwanja wa mazoezi wa kujaribu uongo wake kua Ni bikira kama unaeleweka au laaNa hii huwa inauma sana unahudumia manzi for years alafu huambulii tunda
Mkuu umenisaidia kushuriNyie wote watoto, nyege zenu zisiwafanye mkajiona mna qualify kuwa wanandoa.
Kama we uko 23 kuna possibility ya hali ya juu kuwa mwenzio yuko 20-22 ambako ndio kipindi cha drama za hali ya juu!
Kwanza Ni Jambo la aibu kabisa aisee maana unakua umepoteza muda bure na amekufanya uwanja wa mazoezi wa kujaribu uongo wake kua Ni bikira kama unaeleweka au laa
mkuu Kuna msemo unasema wajinga ndio waliwao.......siku zote ukijifanya mwema Sana baadae hukutana na majuto maana akiondoka mikononi mwako ukaja kujua Kuna jamaa anajiligia utajihesabu mzembe na kujutia Sana na kutamani upewe dakika hata Moja uonyeshe uanaume wako!!Alafu wanakuwaga na nyodo hao sana, ila sijui inakuwaje mwanaume mzma unahudumia mda mrefu bila kupewa tunda nawewe unakomaa tu kama baba mzazi. Huwa wanasema hakuna kusex mpaka kuoana lakini yeye awezi sema uanze kumhudumia mkishaoana.
mkuu Kuna msemo unasema wajinga ndio waliwao.......siku zote ukijifanya mwema Sana baadae hukutana na majuto maana akiondoka mikononi mwako ukaja kujua Kuna jamaa anajiligia utajihesabu mzembe na kujutia Sana na kutamani upewe dakika hata Moja uonyeshe uanaume wako!!
Kweli mkuu Wala si jambo la kuficha maana unaweza shangaa akakuropokea mbele za watu kua Ni joka lisilong'ata maana hukua na dhara lolote kwake kwa kipindi ote ya rltnNa hiyo nafasi kuipata ni kwa maumivu makali sana maana hizo dharau atakazokuonesha na kukupuuza utatamani urudshe siku nyuma. Tunda
Nikajua mleta mada ni wee hapo, ila ni ID ako nyingne, but sorry San lolHii bandiko la mda gani kwanza maana huu mwaka 2012 ndo inanipa shida
Habari za mchana ndugu zangu,
Mpaka imefikia nimekuja kuomba ushauri humu, inamaana nawakubali 100% ndugu zangu, kwani hamkuwai kuniangusha hata simu moja hasa katika matatizo yangu binafsi..
Tukienda kwenye mada
Mimi ni kijana wa miaka 23 ambaye nina mpenzi ambaye amenizidi umri kidogo yeye ana miaka 25. Ni mrembo ambaye nilisoma naye chuo kimoja mkoani dodoma. Mimi na huyu mrembo tuna uhusiano wa takriban 3 years lkni hatujawai kuingiliana(sex) hata siku moja, means haijui yangu pia siijui yake, tangu tumeingia kwenye mahusiano huwa namsaidia kifedha kwenye ishu ndogondogo, n.k
Ishu yenyewe
Huyu mrembo ananipenda pia nampenda ishu imekwepo kwenye (TUNDA). yeye anakaa kwao na mm pia ninaishi kwetu, Ni mtu wa aibu kidog, kuingia gest hajawai (anaogopa anavyodai) hvyo napata wakat mgumu kwenye hili tunda. (sio kwamba namind sana ila ishu ni kwamba nina uhusiano naye kwa mda mrefu na pia baada ya kuwa naye nikaamua kutulia naye huyuhuyu hivyo nakosa mahala pa kutimizia haja zangu) nikifikiria plan za kuanza life yngu ninazo mwakani 2012 (Mungu anijalie) je ! Nitaweza ama na yy ataweza kuvumilia kwa kipindi chote hicho???? Ama ni njia gani ya kunisaidia kutimiza hili jambo
Nipo kwenye wakati mgumu.
Naona kama ntakuja kuchapiwa na mpaka sometime naweza kumkasirikia bila sababu ,nakuwa nahc tu kwamba labda nachapiwa ila ananificha. (""yeye ni bikra"" pia huniambiaga kauli hii mara nyingi). Ushauri wenu wadau, na nikimuangalia mrembo ananipenda,pia ananiheshimu kwa kiasi kikubwa
NINACHOFIKIRIA
je! Niwe na mtu wa kuwa naye kwa ajili ya kutimiza hajazangu huku nikimsubiria yeye mpaka atakapoamua kuwa tayar kwa lolote (yaani kunipa) ama nimvumilie?
N.B. Yeye anafanya kazi sehumu fulani kwa kipindi hiki ika bado yuko kwao
Mimi pia nina shughuli zangu pia bado niko kwetu.
Naombeni ushauri wenu wadau...kuhusu jinsi ya kuishi ama kwenda sambamba na huyu mwanamke...
THANKS
Habari za mchana ndugu zangu,
Mpaka imefikia nimekuja kuomba ushauri humu, inamaana nawakubali 100% ndugu zangu, kwani hamkuwai kuniangusha hata simu moja hasa katika matatizo yangu binafsi..
Tukienda kwenye mada
Mimi ni kijana wa miaka 23 ambaye nina mpenzi ambaye amenizidi umri kidogo yeye ana miaka 25. Ni mrembo ambaye nilisoma naye chuo kimoja mkoani dodoma. Mimi na huyu mrembo tuna uhusiano wa takriban 3 years lkni hatujawai kuingiliana(sex) hata siku moja, means haijui yangu pia siijui yake, tangu tumeingia kwenye mahusiano huwa namsaidia kifedha kwenye ishu ndogondogo, n.k
Ishu yenyewe
Huyu mrembo ananipenda pia nampenda ishu imekwepo kwenye (TUNDA). yeye anakaa kwao na mm pia ninaishi kwetu, Ni mtu wa aibu kidog, kuingia gest hajawai (anaogopa anavyodai) hvyo napata wakat mgumu kwenye hili tunda. (sio kwamba namind sana ila ishu ni kwamba nina uhusiano naye kwa mda mrefu na pia baada ya kuwa naye nikaamua kutulia naye huyuhuyu hivyo nakosa mahala pa kutimizia haja zangu) nikifikiria plan za kuanza life yngu ninazo mwakani 2012 (Mungu anijalie) je ! Nitaweza ama na yy ataweza kuvumilia kwa kipindi chote hicho???? Ama ni njia gani ya kunisaidia kutimiza hili jambo
Nipo kwenye wakati mgumu.
Naona kama ntakuja kuchapiwa na mpaka sometime naweza kumkasirikia bila sababu ,nakuwa nahc tu kwamba labda nachapiwa ila ananificha. (""yeye ni bikra"" pia huniambiaga kauli hii mara nyingi). Ushauri wenu wadau, na nikimuangalia mrembo ananipenda,pia ananiheshimu kwa kiasi kikubwa
NINACHOFIKIRIA
je! Niwe na mtu wa kuwa naye kwa ajili ya kutimiza hajazangu huku nikimsubiria yeye mpaka atakapoamua kuwa tayar kwa lolote (yaani kunipa) ama nimvumilie?
N.B. Yeye anafanya kazi sehumu fulani kwa kipindi hiki ika bado yuko kwao
Mimi pia nina shughuli zangu pia bado niko kwetu.
Naombeni ushauri wenu wadau...kuhusu jinsi ya kuishi ama kwenda sambamba na huyu mwanamke...
THANKS
solution ni kupanga uwe na kwako ili uwe unajilia bila tabu hapo utapata wengi zaidi ya huyo mpenzi wako na ndo utakua mda sahihi wa ku determine kama upo tayari kusettle mwaka 2012 ukifika au ni genye tu zimekuzidi.