BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 910
- 2,165
Ni mdada ambaye ana mume wake but tunajuana mda tuu. Alipata tatizo alipokuwa anakaa akahitaji kuhama na akataka msaada wangu kupata chumba
Mahali nilipopanga mimi kulikuwa na nafasi ila hua sipendi kukaa na mtu tunayejuana jirani, nikamkatalia. Akaongea na ndugu zangu akawaeleza knachomhamisha. Wakaja kunielekeza hali halisi ya anayopitia
Nikamkubalia kwa masharti kuwa maisha yake hayatanihusu na maisha yangu hayamhusu, salam saawa ila hakuna taarfa yyte kuvuja. Mambo yangu ayaache kama yalivyo nikaongea na landlord akakubali mtu ahamie
Saasa naona ameanza kukiuka tuliyokubaliana. Anaongelea mambo yangu. Vitu vyangu nkiacha nje anatumia. Unafki wa chini chini
Natamani kuhama lkn kwa mazingira ya hapa ni mazuri na sidhan kama ntapata sehem nyingne
Naomba ushauri mtu kama huyu unamfanyaje yaani?
Mahali nilipopanga mimi kulikuwa na nafasi ila hua sipendi kukaa na mtu tunayejuana jirani, nikamkatalia. Akaongea na ndugu zangu akawaeleza knachomhamisha. Wakaja kunielekeza hali halisi ya anayopitia
Nikamkubalia kwa masharti kuwa maisha yake hayatanihusu na maisha yangu hayamhusu, salam saawa ila hakuna taarfa yyte kuvuja. Mambo yangu ayaache kama yalivyo nikaongea na landlord akakubali mtu ahamie
Saasa naona ameanza kukiuka tuliyokubaliana. Anaongelea mambo yangu. Vitu vyangu nkiacha nje anatumia. Unafki wa chini chini
Natamani kuhama lkn kwa mazingira ya hapa ni mazuri na sidhan kama ntapata sehem nyingne
Naomba ushauri mtu kama huyu unamfanyaje yaani?