Huyu MpajiTheCounselor ni Nani?

StudentTeacher

JF-Expert Member
Jan 30, 2019
3,679
3,719
Namuona sana,anatrend mitandaoni si Tiktok, Facebook Instagram hadi Twitter kwa video zake. Kuna Moja hiyo ameiwekea caption ya "ZA KICHWA". Nyie hii dunia hii
 
Namuona sana,anatrend mitandaoni si Tiktok, Facebook Instagram hadi Twitter kwa video zake. Kuna Moja hiyo ameiwekea caption ya "ZA KICHWA". Nyie hii dunia hii
Alafu mkuu, ebu skunyingine usianze kucheka wakati wengine hatujui unacheka nini....
Kwanza hiyo clip ikwapi...🤔 maana huyo mpaji mwenyewe hatumjui huku Shirati Rorya ukipitia Kogaja, Maomao na Songambele
 
Alafu mkuu, ebu skunyingine usianze kucheka wakati wengine hatujui unacheka nini....
Kwanza hiyo clip ikwapi... maana huyo mpaji mwenyewe hatumjui huku Shirati Rorya ukipitia Kogaja, Maomao na Songambele
. Msubiri huko huko
 
Alafu mkuu, ebu skunyingine usianze kucheka wakati wengine hatujui unacheka nini....
Kwanza hiyo clip ikwapi...🤔 maana huyo mpaji mwenyewe hatumjui huku Shirati Rorya ukipitia Kogaja, Maomao na Songambele
Nisalimie ingrijuu na utegi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom