Huyu mke utamuweza kweli!!

Huyu mke utamuweza kweli!!

Je huyo dogo atakuwa napigilia msumari au atakuwa anazamamishwa chumvini ili anyonye kama ziwa la mama yake
 
Hii ni ndoa ya kimila huko sauzi. Ilifanyika kuplease miungu tu. Hakutakua ma mahusiano yoyote ya kindoa baina Yao
 
Jamani tambiko hilo la mizimu ndo linataka!! Kuna source ya habari sema link sikumbuki wanaelezea hivyo!!! Watakuwa hawaishi pamoja na hawajasaini cheti cha ndoa!! Baada ya ibada hii kila mtu anarudi kwao na kijana atakuwa aoe mke wa umri wake.
 
Huenda kakijana kamefubaa afu kana mpododo wa haja!...full mkuno!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom