Huyu mkaka jamani lol





Hivi Dar Es Salaam si ni mkoa au majuu?
 
mamii...si ana mtu wake? mezea, urafiki ni bora zaidi maana utapata nafasi ya kumfahamu kiundani zaidi huenda kuliko hata g.friend wake kama unavyodai
 
du!!,hii dunia inapoenda kwa kwel .kumbe na nyie huwa mnaumia mnashindwa kusema ehh??,
 

matatizo ya screen touch!??
 

We bwana simu yako ina keyboard za wapi?
 

kwahiyo hivyo vitu ndio wewe umeona anakuamini,hapo anakuona f**a ndio maana anakutuma tuma kama boya!
Sasa fanya hivi mvulie pichu uone kazi,tatizo lenu mnamegwa mpaka na vibabu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…