Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,190
- 5,061
wakuu habari za siku
#NoReformsNoElection
Kuna mdada mmoja nilikuwa namfukuzia sana lakini ni kama vile alikuwa hanielewi nikaamua kuachana na hilo swala tukiwa tunakutana nampa hi tu kisha nasepa lakini pia kazi zangu baadhi nilikuwa naenda fanyia ofisini kwake stationary
Sa umepita muda kama mwezi hivi nikawa sjapata kazi ya kunipeleka pale ofisini kwake nikawa namuona tu whatsapp ana view status zangu basi
Leo nilipata kazi ya kunipeleka pale ofisini kwake nikamsalimia na nikamwambia nimekukumbuka sn akauliza kweli nikamwambia ndiyo akauliza kwann nikamwambia nakupenda
Akajibu alitamani sana kunitumia ujumbe wa kunikumbuka na kunisabahi lakini akaogopa kwamba naweza kuwa nipo na mke wangu ikawa soo nikamwambia hapana hatuishi hivyo mi mke wangu hanaga hzo mambo yuko huru na simu yake nami nipo huru so akitaka nisalimia ni yeye tu basi akatabasamu na akasema basi atakuwa ananicheck akinimiss
sa wakati nipo busy na kazi yangu akawa ananicheck jicho fulani hivi la kunivizia la chini chini
sa wadau wa code nambieni huyu mtoto kaanza elewa pigo nijitose tena au nikaushe tu 🤔
#NoReformsNoElection
Kuna mdada mmoja nilikuwa namfukuzia sana lakini ni kama vile alikuwa hanielewi nikaamua kuachana na hilo swala tukiwa tunakutana nampa hi tu kisha nasepa lakini pia kazi zangu baadhi nilikuwa naenda fanyia ofisini kwake stationary
Sa umepita muda kama mwezi hivi nikawa sjapata kazi ya kunipeleka pale ofisini kwake nikawa namuona tu whatsapp ana view status zangu basi
Leo nilipata kazi ya kunipeleka pale ofisini kwake nikamsalimia na nikamwambia nimekukumbuka sn akauliza kweli nikamwambia ndiyo akauliza kwann nikamwambia nakupenda
Akajibu alitamani sana kunitumia ujumbe wa kunikumbuka na kunisabahi lakini akaogopa kwamba naweza kuwa nipo na mke wangu ikawa soo nikamwambia hapana hatuishi hivyo mi mke wangu hanaga hzo mambo yuko huru na simu yake nami nipo huru so akitaka nisalimia ni yeye tu basi akatabasamu na akasema basi atakuwa ananicheck akinimiss
sa wakati nipo busy na kazi yangu akawa ananicheck jicho fulani hivi la kunivizia la chini chini
sa wadau wa code nambieni huyu mtoto kaanza elewa pigo nijitose tena au nikaushe tu 🤔