Huyu mdada nimueleweje?

Aina hii ya utongozaji mtaishia kula machangudoa sugu.
Unapewa namba na unaanza kutongoza same day?
Kwa kawaida mimi namuwekea demu mazingira ajae mwenyewe, kinachofuata ni kutafunana tu.
 
Kashaambiwa huyo kama wewe ni gonolia man........ndio maaana hatak .......vumilia tu
 
Upo sekondari, chuo cha Kati au Chuo kikuu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…