AMINATA 9
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 2,120
- 641
huyo atakua ni roho mtaka fujoMtakatifu ivuga, naona roho mtaka vitu amekushukia.
Ubarikiwe sana
Source: miss judith (bibi harusi mtarajiwa)
huyo atakua ni roho mtaka fujoMtakatifu ivuga, naona roho mtaka vitu amekushukia.
Ubarikiwe sana
Source: miss judith (bibi harusi mtarajiwa)
nikikuona hua nafurai sana.nalog offwe endelea na maujuzi yako,atasomeka tu. Nalog off
sasa ww utataka mwenzenu avamiwe ka wakuriya bila hata maandalizi loh!Mpeleke anavyotaka yeye!!
badala ya sukari yy katia chumvi hapo patamuuuuuuuuuuUmezidisha chumvi kitandani.Belivdat
Nami pia bi dada nikikuona naona raha. Nalog offnikikuona hua nafurai sana.nalog off
...Alipaswa kuwa na shukurani that you went an extra mile to try to please her! hata kama zamani ulikuwa hufanyi unayofanya , kwake ni kushukuru kuwa mzee unaumiza kichwa kuleta mambo mapya kwenye 6x6. Mi nakushauri kwa kuwa umeshamjulia basi maintain game lako...ukibweteka hawakawii kutoka na kijana anayepitisha samaki wabichi au wale wanaotembea na vikapu wanapaka rangi za kucha!nimemwonyesha mapenzi eti ananiita mhuni ..wakati kayataka mwenyewe ..anadai kuna mtu kanifundisha ..eti nilikuwa na mademu wengi ..eti ninapenda mademu ...
kisa nimemuonyesha mapenzi...asingeonyeshwa angelalamika kuwa mimi ni mlugaluga.............
asiulize kwann loh! mtu mwaka mzima ulikua kilaza gafla leo umeibuka utafikiri we kungwi wa kiume loh! lazima mtu akuulize vp leo...Alipaswa kuwa na shukurani that you went an extra mile to try to please her! hata kama zamani ulikuwa hufanyi unayofanya , kwake ni kushukuru kuwa mzee unaumiza kichwa kuleta mambo mapya kwenye 6x6. Mi nakushauri kwa kuwa umeshamjulia basi maintain game lako...ukibweteka hawakawii kutoka na kijana anayepitisha samaki wabichi au wale wanaotembea na vikapu wanapaka rangi za kucha!
l love ur avatar so much loh!Nami pia bi dada nikikuona naona raha. Nalog off
ninge post kitu hapa ,lakini no natawa leo kwa kuwa upande wa kina mama
hureeeeeeeeeeeeeebig up kwa wamama wote leo wako na suport ya Bishanga!
Nitakupa kama zawadi siku utakayofanya bathdei yako. Nalog offl love ur avatar so much loh!
una undugu na washa washa?inategemea na ulivofanya sasa mweh!
je kama kila kitu na kila siku unamfanyia vitu utafikiri ww ni ....................... loh!
na log off
Siku ya kwanza unakula kidogo kama msosi wa msibani baada ya hapo full buffet
..kuna jamaa yangu mmoja alisema yeye akikuta demu wake ana shanga na hapo kabla hakuwa nayo siulizi as long as nazidi kufaidi! I have attained sexual revolution! Binafsi sifungwi tena na mambo kama wivu,mwanamke ni mali yamtu mmoja, nk...kwangu sex ni suala la kupeana tu na kufurahisha mwili. Dhana ya sexual revolution inaeleweka vizuri na baadhi ya makabila hapa nchini (siwataji hapa wasije wakanijia juu).....asiulize kwann loh! mtu mwaka mzima ulikua kilaza gafla leo umeibuka utafikiri we kungwi wa kiume loh! lazima mtu akuulize vp leo
ni sawa na mtu mkewe kila cku gogo gafla cku unamkuta na shanga na anakupa mambo ka kungwi lazima umulize tena na kipondo juu nani kakufundisha so hamuezi jua SI alikuaje na gafla akawaje tena
dah hakuna uhuni bhana,hivi nani anapendwa bila nyeti?