Huyu Mchungaji alimkosea sana jamaa angu

Huyu Mchungaji alimkosea sana jamaa angu

05CUBA

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2025
Posts
1,106
Reaction score
1,644
* tuliambiwa tu some SAYANSI tukakataa.

Jamaa amekaa siti ya mbele kabisa na mchumba ake pale ibadani.... pastor anaendelea na mahubiri. .

Ghafla pastor kamnyoshea kidole Shemeji angu (yule Binti)... AKasema "BINTI... MUNGU AMEKUBARIKI ... UTAOLEWA NA ENGINEER"

Watu wanashangilia ... Ali Lili Lili liiiiiii....
Sema Amina ?????
Binti: AMINA .
Mchungaji: sema Amina na imekuaaaa ushangilie kwa nguvu.

Binti: anasema Amina ananyanyuka kushangilia.

Mama ake na Binti anaenda mbele ana mtunza mchungaji pesa mingi Sana.

#Basi jama amegoma kusali mpaka leo imepita myezi motano hajakanyaga church na hataki kusikia habari za wachungaji

🤣🤣🤣🤣
 
* tuliambiwa tu some SAYANSI tukakataa.

Jamaa amekaa siti ya mbele kabisa na mchumba ake pale ibadani.... pastor anaendelea na mahubiri. .

Ghafla pastor kamnyoshea kidole Shemeji angu (yule Binti)... AKasema "BINTI... MUNGU AMEKUBARIKI ... UTAOLEWA NA ENGINEER"

Watu wanashangilia ... Ali Lili Lili liiiiiii....
Sema Amina ?????
Binti: AMINA .
Mchungaji: sema Amina na imekuaaaa ushangilie kwa nguvu.

Binti: anasema Amina ananyanyuka kushangilia.

Mama ake na Binti anaenda mbele ana mtunza mchungaji pesa mingi Sana.

#BASI JAMA AMEGOMA KUSALI MPAKA LEO IMEPITA MYEZI MOTANO HAJAKANYAGA CHURCH NA HATAK KUSIKIA HABARI ZA WACHUNGAJI.

🤣🤣🤣🤣
Kwani akiolewa na mkulima ni mkosi?!!
 
Bado kuna watu wanaenda kanisani
Hawa wakina mwamposa wanaonunuliwa na wanasiasa
 
* tuliambiwa tu some SAYANSI tukakataa.

Jamaa amekaa siti ya mbele kabisa na mchumba ake pale ibadani.... pastor anaendelea na mahubiri. .


#BASI JAMA AMEGOMA KUSALI MPAKA LEO IMEPITA MYEZI MOTANO HAJAKANYAGA CHURCH NA HATAK KUSIKIA HABARI ZA WACHUNGAJI.

🤣🤣🤣🤣
Mchungaji anamjua mchumba wa huyo binti ni mwalimu sio injinia, na binti alienda kumwambia mchungaji hataki kuolewa na huyo mwalimu kuna injinia anamfukuzia amuoe lakini anashindwa kumwambia mchumba mwalimu hamtaki tena! Hela alizopewa mchungali walikubaliana kimbele
 
* tuliambiwa tu some SAYANSI tukakataa.

Jamaa amekaa siti ya mbele kabisa na mchumba ake pale ibadani.... pastor anaendelea na mahubiri. .

Ghafla pastor kamnyoshea kidole Shemeji angu (yule Binti)... AKasema "BINTI... MUNGU AMEKUBARIKI ... UTAOLEWA NA ENGINEER"

Watu wanashangilia ... Ali Lili Lili liiiiiii....
Sema Amina ?????
Binti: AMINA .
Mchungaji: sema Amina na imekuaaaa ushangilie kwa nguvu.

Binti: anasema Amina ananyanyuka kushangilia.

Mama ake na Binti anaenda mbele ana mtunza mchungaji pesa mingi Sana.

#BASI JAMA AMEGOMA KUSALI MPAKA LEO IMEPITA MYEZI MOTANO HAJAKANYAGA CHURCH NA HATAK KUSIKIA HABARI ZA WACHUNGAJI.

🤣🤣🤣🤣
hao jamaa wajanja sana, na kwakweli ni wachonganishi mbaya sana,

mchungaji mwingine aliniambia ati mimi naonekana mtanashati tu lakini sina pesa,
Halafu ati akasema alieikanyaga nyota yangu ni mtu ambae jina lake linaanza na herufi A.

Nilipopiga mahesabu nani ana herufi A home, nikakuta ni my father.

Nikajisemea moyoni, mchungaji ananifarakanisha waamini wa ngapi na familia yangu zao ?

wakati huo mimi ni msomi na mfanyikazi wa bank na ananiambia sina pesa?
Nilienda kutoa sadaka ya 1m, ilinibidi nitoe elf2 pekeyake na kisha nikaondoka zangu 🐒
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom