Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,656
Kwani status yake ya whatx app inaxemaje? Maana siku hizi kuna namna nyingi za kufikisha ujumbe.
Wakati tumbo linakua ulikua hulioni?
Dah! Hahahahaa! Kizaz cha kukulia midoli kina kazi sanaPole na kz wanajamvi, Nina mchumba wangu nmekuwa nae ktk mahusiano kpnd cha miaka mitatu sasa, chakushangaza kajifungua mtoto juzjuz, na hakuwahi kunambia kma anaujauzito wangu. Na alipojifungua hajanambia mpaka xaxa, hata cm hapokei lkn nkihesabu cku nlizokutana nae ktk tendo letu, naona ndo zenyewe! Naombeni ushauri nifanyeje nngali bado nampenda?By
Kilowoko de don.
Pole na kz wanajamvi, Nina mchumba wangu nmekuwa nae ktk mahusiano kpnd cha miaka mitatu sasa, chakushangaza kajifungua mtoto juzjuz, na hakuwahi kunambia kma anaujauzito wangu. Na alipojifungua hajanambia mpaka xaxa, hata cm hapokei lkn nkihesabu cku nlizokutana nae ktk tendo letu, naona ndo zenyewe! Naombeni ushauri nifanyeje nngali bado nampenda?By
Kilowoko de don.