*DNA* Itahusika hapo miaka 3 we ungemtia mimba Mapemaa kama unaona kuoa unachelewaPole na kz wanajamvi, Nina mchumba wangu nmekuwa nae ktk mahusiano kpnd cha miaka mitatu sasa, chakushangaza kajifungua mtoto juzjuz, na hakuwahi kunambia kma anaujauzito wangu. Na alipojifungua hajanambia mpaka xaxa, hata cm hapokei lkn nkihesabu cku nlizokutana nae ktk tendo letu, naona ndo zenyewe! Naombeni ushauri nifanyeje nngali bado nampenda?By
Kilowoko de don.
Yani we jamaa mwanamke mpaka anajifungua humuonagi tumbo na mabadiliko ya afya?we jamaa ni wa pekee asee..
Alikua bize na papuchi
Mkuu huyo mwenzako sio mwaminifu na huenda hiyo mimba ilikuwa sio yako kbs.Pole na kz wanajamvi, Nina mchumba wangu nmekuwa nae ktk mahusiano kpnd cha miaka mitatu sasa, chakushangaza kajifungua mtoto juzjuz, na hakuwahi kunambia kma anaujauzito wangu. Na alipojifungua hajanambia mpaka xaxa, hata cm hapokei lkn nkihesabu cku nlizokutana nae ktk tendo letu, naona ndo zenyewe! Naombeni ushauri nifanyeje nngali bado nampenda?By
Kilowoko de don.
HahahahaYani we jamaa mwanamke mpaka anajifungua humuonagi tumbo na mabadiliko ya afya?we jamaa ni wa pekee asee..
Mama ndio anajua mtoto ni wa nani, huna chako hapo.Lkn kinachonifanya niwe na uhakika kuwa hyo mtoto ni wakwangu ni hzo cku nilizozihesabu! Wenda hyu mwanamke kamuuza mwanangu!
Pole na kz wanajamvi, Nina mchumba wangu nmekuwa nae ktk mahusiano kpnd cha miaka mitatu sasa, chakushangaza kajifungua mtoto juzjuz, na hakuwahi kunambia kma anaujauzito wangu. Na alipojifungua hajanambia mpaka xaxa, hata cm hapokei lkn nkihesabu cku nlizokutana nae ktk tendo letu, naona ndo zenyewe! Naombeni ushauri nifanyeje nngali bado nampenda?By
Kilowoko de don.
Huo co ushauri mamakama mtu anaweza kufikisha miezi 6-9 akajifungua hujawahi kumuona wala huelewi fia mbali huko