Huyu mchumba vipi?


haupo tayari kwa ndoa wewe....still need some growing up.
 

we jamaa naona una hamu ya kufungua thread tuu,,,,,
kama uko serious, honestly... You are Pathetic!! and i wish she leaves yo stupid ass...
 
Kwanza mkuu unaonekana bado una akili ya kitoto, kila walio kwenye mahusiano wangekuwa wanasusiana kama ulivuofanya ww bac ndoa zisingekuwepo. Unapaswa kuwa na utulivu wa akili, muelewa, mvumilivu, mwenye kusamehe na mwenye kujenga hoja sio kukurupuka tu eti hajapokea simu. Sasa hapo kwa mawaz yako yalivyo finyu unahisi alikuwa na mwanaume mwingine? Be matured bhana
 
Mimi ni Me mkuu
Kwanza kabisa mkuu punguza wivu,pia usimuhukum mtu kwa jambo ambalo halina ushahidi,Anza kumchunguza kwa taratibu nyendo zake jifanye mjinga kwa mda utamkamata tu,ndipo utachukua hatua mwisho kabisa kama ulikua na nia ya kumuoa hivi karibun ongeza miezi.halafu kuhusu mawasiliano mpe mda jifanye kumpigia hata kutwa 3 mda mwingne potezea uone kama nae anakukumbuka,
 
we endelelea kususa tu atakutafuta mwenyewe
 
Asante mkuu. Nitafanyia kazi ushauri wako
 
Pole baba yeyoo, mama yeyoo anahitaji muda wa kufanya mambo yake sio customer care wa emergency hata awe pembeni ya simu Kila sekunde.
 
ndoa inahitaji uvumilivu mkubwa sana mkuu la sivyo utaacha kila siku kutambulisha mpya kwa wazee
 
Tatizo lako una hasira za papo kwa hapo, usitoe hukumu bila ya uchunguzi mkuu
 
"Love is The Seventh Sense , Which Destroys All other 6 Senses leading to creation of eighth sense called NON SENSE.
 
Mbona tabia zako sio za kiume!!!!!!?

Huyo mwanamke ulitongozewa na nani?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…