Haya ni maneno aliyoanza nayo rais Kikwete kabla ya hotuba yake ya Mei Mosi. Sijayapenda kwasababu Tanzania tunasifika ndani na nje ya nchi yetu kwa uchawi. Hapa rais kwa mtizamo wangu, alianza kusujudu uchawi kama sio wachawi.
Nipo hapa naangalia sherehe za Mei mosi lakini nashindwa kuelewa huyu mshereheshaji ana matatizo ya kufikiri au ndio kujipendekeza kwa mkuu mpaka anaongea kauli zisizopendeza? Kwanza nilimsikia anawakemea watu kuwa "Tulieni kama mnafanyiwa tohara" nikadhani amepitiwa tu lakini amerudia tena kwa kumwambia mgeni rasmi kuwa "usiwe na wasiwasi hii mvua haitonyesha nina uwezo wa kuizuia" hapa amenishangaza sana, ina maana yeye ni Mungu au ni bingwa wa ushirikina? Sifa nyingine sio nzuri kuzitafuta kwenye halaiki kama hii.
anasema uwanja wa ndege songwe inaweza kutua ndege ya obama 747 bila shida, pia anawashauri wachangamkie kilimo cha maua tuwashinde kenya. Kima cha chini cha mishahara ameahidi kitaongezwa kwa kiasi kikubwa kidogo ila hakuta wahusika wataona ongezeko mwezi julai.
kupitia chama gani!!
Kavaa nguo za rangi gani huyo jamaa Msema Chochote!Atakua ni mbunge tarajali!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Haya ni maneno aliyoanza nayo rais Kikwete kabla ya hotuba yake ya Mei Mosi. Sijayapenda kwasababu Tanzania tunasifika ndani na nje ya nchi yetu kwa uchawi. Hapa rais kwa mtizamo wangu, alianza kusujudu uchawi kama sio wachawi.
Jina lake nani?