Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Kwa hiyo mgombea makini wa CDM alihongwa? Nadhani hata waliompitisha kugombea nao ni makini kama yeye.baada ya mgombea wa CDM kuhongwa na kujitoa kwny kinyanganyiro matokeo yake jimbo likaenda kwa huyu