Kizota
Member
- Mar 2, 2021
- 46
- 81
Muda wa saa nne za Usiku anawika saa saba za Usiku anawika, anataka nitoke niende wapi usiku wote huo, labda anajua mi mturutumbi anakosea sana tena ni mwehu,
Kuku wenzake wa majirani wanawika kwa muda maalum utawasikia saa kumi, kumi na moja na kumi na mbili za alfajiri, ama anaumwa huyu kuku? Toka nijisemeshe hawezi fika pasaka nampa kisu cha utosi basi kuwika hakuishi humu ndani, ndio sina banda analala jikoni,
Nimemwekea maji ya dawa machoni ugonjwa uishe kama anaumwa daktari wa wanyama anasema nimekosea ningempa kwenye maji anywe, yani tabu sana na huyu kuku na yeye yupo mmoja tu huyu sijui ila nimeshajua cha kufanya? 😁
Nb; chizi sio lazima wawe hospital tu ata humu pia mnao,.
Kuku wenzake wa majirani wanawika kwa muda maalum utawasikia saa kumi, kumi na moja na kumi na mbili za alfajiri, ama anaumwa huyu kuku? Toka nijisemeshe hawezi fika pasaka nampa kisu cha utosi basi kuwika hakuishi humu ndani, ndio sina banda analala jikoni,
Nimemwekea maji ya dawa machoni ugonjwa uishe kama anaumwa daktari wa wanyama anasema nimekosea ningempa kwenye maji anywe, yani tabu sana na huyu kuku na yeye yupo mmoja tu huyu sijui ila nimeshajua cha kufanya? 😁
Nb; chizi sio lazima wawe hospital tu ata humu pia mnao,.