Huyu jamaa ni shushushu?

Abubakar Liongo. Mwandishi wake.
 
Sawa mkuu atakuwa kwenye timu EL hapo anauza sura tu. Nimepiga naye kazi miaka mitatu namjua kiasi

Wakati Huo Unamjua Hilo Chogo Lake Na Huo Mbichwa Wake Ulikuwa Unafanana Hivyo Hivyo au Hapa Katikati Yalimtokea Ya Kumtokea?
 
Huyo kijana anaitwa Sambala Ole Comrade ni mwanakijiji na diwani wa Mondo wilaya ya Chemba anaishi Kawe ni Team EL muda mrefu na ameshiriki kazi baadhi za kumtangaza EL kwenye mitandao ya kijamii lakini Pia Sambala aliwahi kama bado anaendelea na kuwasiliana na viongozi wa kundi la waasi wa M23
 
Ha ha ha Kanenepa tu ni vivyohivyo. Nafikiri ni katika vijana ambao wanauthubutu na wanaweza kufanya mambo makubwa wakipata fursa.

Wakati Huo Unamjua Hilo Chogo Lake Na Huo Mbichwa Wake Ulikuwa Unafanana Hivyo Hivyo au Hapa Katikati Yalimtokea Ya Kumtokea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…