Huyu jamaa ni nani?

Watu na bahati zao
 
aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
41 years is still too young bro!!

-Domhome-
 
"serebrit"...Celebrity✓

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Asante kwa kujua hilo. Ila nililojifunza zaidi kwa threads hii ni kuwa sasa nimepoteza imani na picha baada ya kuona jinsi mafotoshop yanavyowezekana.
Picha ya kwanza alitokea na githeri kwenye line ya kupiga kura ndiyo ikaenda viral wadau wakaanza kumfanyia photoshop akiwa na mastaa wa dunia ndiyo akatrend zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…