Huyu jamaa kaniacha hoi

You never know, huenda ana biashara nyingine under the carpet!!
 
anajipatia rizki kwa hiyo kazi yake! alishawahi kukuomba chakula?
pia sijaona lengo mahususi la hii thread
 

Hizi kazi unazozidharau wkt mwingine zinakipato kikubwa hata kuzidi wa vaa suti maofisini
 
Waafrica wengi ndio tulivyo yuko radhi akae nyumbani agombanie maandazi na wadogo zake huku akienda Chooni kwa foleni kuliko kufanya kazi anazoziona halilipi...

Muangalie Mzungu hapo ndani ya tabora


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…