DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Wakuu
====
Kama ni kweli Dhambi itakuwa ndio hukumu ya Mwisho ya binadamu basi wanasiasa wengi wataangamia,ukimsikiliza Bulaya wa Mwaka 2023 na Bulaya 2025 utafikiri ni watu Wawili tofauti. Tuogope teknolojia na Mungu
Maoni yangu
Bulaya hawezi kushinda ubunge nimekaa pale
====
Kama ni kweli Dhambi itakuwa ndio hukumu ya Mwisho ya binadamu basi wanasiasa wengi wataangamia,ukimsikiliza Bulaya wa Mwaka 2023 na Bulaya 2025 utafikiri ni watu Wawili tofauti. Tuogope teknolojia na Mungu
Maoni yangu
Bulaya hawezi kushinda ubunge nimekaa pale