Huyu Elon Musk ni nani?

Huyu Elon Musk ni nani?

Binafsi Elon musk ndio binadamu ambaye natamani nipate walau dakika tano za kusalimiana naye
 
NI KUTOKUA MVIVU WA KUFIKIRI TU NA UTHUBUTU... SIO KWAMBA ANA AKILI SANA KAMA MNAVOSEMA BAADHI YA WADAU... NYIE VITABU HAMSOMI MNASONA UMBEA TU HUKO FACEBOOK MTAWEZA KUFIKIR JUU YA MAMBO YA ULIMWENGU
 
NI KUTOKUA MVIVU WA KUFIKIRI TU NA UTHUBUTU... SIO KWAMBA ANA AKILI SANA KAMA MNAVOSEMA BAADHI YA WADAU... NYIE VITABU HAMSOMI MNASONA UMBEA TU HUKO FACEBOOK MTAWEZA KUFIKIR JUU YA MAMBO YA ULIMWENGU
Vp wewe ambaye husomi umbea umefanya nini?
 
Vp wewe ambaye husomi umbea umefanya nini?


hayo ni maoni kiongozi kama unaona ,hayana mashiko jibu kwa hoja ..jukwaa huru hili

well kukujibu tu swali lako bwana mdogo
NIJENGA NYUMBA KUBWA KWA AJILI
YA FAMILIA YANGU NA NINA MIRADI YANGU
MINGI AMBAYO SIPASWI KUKWAMBIA

HOJA NI UMBEA HAUSAIDII NA KUSHINDA MITANDAONI
BILA SABABU ZA MSINGI NI KUPOTEZA MUDA

UMENIELEWA MDOGO ANGU ... SOMA DOGO
 
hayo ni maoni kiongozi kama unaona ,hayana mashiko jibu kwa hoja ..jukwaa huru hili

well kukujibu tu swali lako bwana mdogo
NIJENGA NYUMBA KUBWA KWA AJILI
YA FAMILIA YANGU NA NINA MIRADI YANGU
MINGI AMBAYO SIPASWI KUKWAMBIA

HOJA NI UMBEA HAUSAIDII NA KUSHINDA MITANDAONI
BILA SABABU ZA MSINGI NI KUPOTEZA MUDA

UMENIELEWA MDOGO ANGU ... SOMA DOGO[/QUOT
hongera sana mkuu.....umejuaje kama ninasoma?
 
Hongera sana mkuu....unahisi mtu kama Mimi ninasoma bado
 
Huyo ni mmoja kati ya watu wachache wenye uthubutu wa hali ya juu na wanaoamini katika wao wenyewe na mawazo yao.
 
Huyu ni mzungu mzaliwa wa Africa kusini kwa sasa ana uraia wa Marekani ni kati ya ma 'genius' watu wenye akili nyingi waliopo duniani kwa sasa ni mtu ambaye anataka kubadilisha kabisa baadhi ya mambo hapa duniani kutokana na ugunduzi wake, kwa mfano kutoka kutumia magari ya mafuta na kuanza kutumia magari yanayotumia umeme na nishati ya jua hii ni pamoja na magari ya kujiendesha yenyewe bila dereva, ana 'project' nyingine kubwa ya kupeleka binadamu kuishi kwenye sayari ya Mars. Ana project nyingine ya 'HYPERLOOP' hii ni teknolojia ya treni yenye kasi zaidi na salama ambayo itakuwa inatumia mwendo kasi wa kilomita 1200 kwa saa, treni hii itakuwa inapita ndani ya 'tunnel' ambalo halina hewa 'vacuum' na kuifanya ikimbie zaidi kwa kutumia umeme kidogo sana. Project nyingine kubwa anategemea kurusha 'satellite' 4425 kwa ajili ya mawasiliano ya simu na 'internet' na atafanya mawasiliano yapatikane kokote ulipo duniani kwa gharama nafuu zaidi kuliko sasa. Hizo ndizo baadhi ya project zake chache na ndiye anayetegemewa kuja kuwa tajiri namba moja duniani siku zijazo.
Ndio sasa ni tajiri namba moja mzee wa kazi.
 
Back
Top Bottom