ktk hali hiyo unakuwa baba wa mdogo wako.hyo ni sodoma na gomola kama anaweza atafute mwingine mbn wapo wengi hao hawataachana kama wameanza kitambo mchezo wao na akioa baba anaweka mimba alaf unabambikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ktk hali hiyo unakuwa baba wa mdogo wako.hyo ni sodoma na gomola kama anaweza atafute mwingine mbn wapo wengi hao hawataachana kama wameanza kitambo mchezo wao na akioa baba anaweka mimba alaf unabambikiwa
teh teh teh teh teh hahahaa....! demu kamwaga mboga... jamaa nae amwage ugali sio.....! hahaaaa! ila dah nyie mngemuona jamaa msingesema hivi..!!!
analizwa na mengi huyu ukute anajua MDINGI wake AMEUKWAAkupiiiga makofi huyo jamaa ako uliona nini................sa linalilia nini????????
Ushauri mzuri ataupata kwa mama yakeMuambie hiviii
'Advice is what u ask for when u know exactly what u shld do and u don't want to'
Huyo akishamuoa anaanza kutoka na mama yake, ndo atajua maharage ni mboga ya serikali.