Huyu demu kanitosa kisa elf 3000

Huyu demu kanitosa kisa elf 3000

Ukiwaendekeza hawa mbulu kenge utakufa masikini, mimi kuna kimdada kimoja chugga kimeona weekend imetimia basi shobo zikapitiliza nikakiambia njoo faster mara hicho nikakipiga msosi wa nguvu kisha nikajusemea hivi nina gheto why nipoteze pesa hotelini nikapiga mzigo adi bonjour..!

Ghetto lenyewe liko simple kipo kitanda na jaba la maji na begi la nguo basi kesho yake nashangaa ata hakina mpango wa kusepa nikakichomoa kiujanja kufika kituoni nikakipiga 5000 nauli, kilimaind kisenge kidume nikaminya hadi mwisho juzi nakicheki eti kimenuna nikakiambia utakuja kukosa makubwa kwa over expectations zako.
Hahahahaaaa nimecheka hadi nimeungua chai
 
Mwanaume kiumbe kinachopotea kwa kasi kama tembo wetu.
 
Huyo ni demu, mwanamke hawezi kununia kisa tu umenyima buku 3, halafu wewe naye tafuta mwanamke uoe mjenge maisha siyo mademu.
Ndio nilikuwa na expect aje kuwa mke wa ndoa lakin unfortunately amejiharibia mwenyewe
 
weee jamaa unamatatizo makubwa Sana ya "kisaikolojia"
nenda milembe faster
 
Kijana umesha fanya application vyuo!??
 
hiyo 3 elfu unakula kwa mantilie asubuh mchana na usiku.
well bro
 
Demu lazima akutose angekuwa mwanammke asingekutosa
 
Haaaahaaaa.
. wengine c wanaumee, magumegumee(in khadija kopas voice)
 
Hivi wanawake mmekuwaje siku hizi mbona mnapenda hela hivyo? daah siamini huyu binti mwenye mtoto mmoja amenichunia kisa nimekataa kumpa elf 3000, wakati yeye anafanya biashara yake huu ni ungwana kweli ? hapa mimi siwezi mizinga isiokuwa na maana.
Kuna mwenzako humu juzi katoswa kwa sababu ya elf tano tu na anadai ana mamilioni!!!!
 
Back
Top Bottom