kilombero yetu
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,004
- 116
mbona mwepesi sana.mada inasema maslahi ya taifa ya vijana yeye anazungumzia chadema inawenye viti wa nne tangu ianzishwe,,,,,,anashindwa kuweka mada vizuri kuweka hoja nini kifanyike ama ccm imekosea wapi ndio mana vijana wana haha.napata shida sana baada ya Heche inawezekana bavvicha kufa